Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,447
NimeelewaMkuu umesoma Kweli thread na jibu langu ukalielewa?
NimeelewaMkuu umesoma Kweli thread na jibu langu ukalielewa?
Ni mimi Mkuu nilikusaidia hebu kwanza njoo inboxKupitia jamii forum.. Japokuwa huyo mtu aliyenipa kazi mpka leo cmjui...
Ila ukweli mm ni miongon mwa watu waliofaidika na jamii forum
Niliandika uzi wa kutafuta kazi.. Baadhi ya watu wakaniambia niwatumie CV.. Kweli nikatuma..
Baada ya siku 3 nikaitwa kwa interview na nikapita....
Mkuu usisahau kurudiAisee.... Kisa changu na changamoto nilizopitia ni ndefu sana hadi kupata ajira...
Nikisimulia hapa nahisi watu watapata cha kujifunza...
Narudi
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mkuu alipokuwa anajitolea analipwa 1M?Omba Mungu sana, kuajiriwa hakuna ujanja, ni Mwenyezimungu akiamua tu unapata, kuna jamaa yangu mmoja hivi alijitolea Kinyerezi 2, miezi 10 hakupata ajira, kipindi anajitolea akaitwa tena kujitolea TPA(seap program) mwaka mzima uliisha na ajira zikitoka yupo pale lkn alikuwa hapati ajira, ingawa alikuwa analipwa 1M kwa nwezi. juzikati ajira za TBA wakaitwa watu 280 huku wakiwa wanatafuta mtu mmoja akachukuliwa yeye (Mechanical Engineer 2).
Kuna mdogo wangu kamaliza mwaka huu AUTOMOBILE ENGINEERING, kapata kazi TOTAL bila connection walienda kuomba kurecruit watu wa automobile wanamchukua kisa ana gpa nzuri, kuna jamaa humu jamii forum, nilimkonect tu mahala wanatafuta maintenance engineer haikuchukua hata week 2 akaitwa kazini, na niliwapa watu wengi email watume maombi lkn ye aliitwa faster. .
Ukisikia mtu kapata kazi wala sio ujanja wake, bali nimuda tu umefika.
We jamaa sio mtu mzuri, big up sanaGPA, 4.8 Bachelor, kozi ngumu ya science.
Ndio TPA (Bandarini) .mkuu alipokuwa anajitolea analipwa 1M?
Kwanini mnatafuta kazi?
Second year naenda tena field lazima kielewekeNilitaka niandike Uzi kuhusu Maswala ya Ajira etc..
Mie ni kijana bdo.
Wakat nasoma nilitamani kuajiriwa nikiwa BADO nikiwa nasoma Chuo.
Nilikosa kazi.. kwa miaka miwili mwaka wa pili ilikuw ni semester ya mwisho lazima Tufanye FIELD.
Nikaitumia hiyo FURSA.. kujijengea JINA, CONNECTION na UAMINIFU. ktk Taasisi nyeti niliyoenda kufanya Field.
Sikufichi.. wenzangu niliosoma nao Asilimia 70% walienda kufanya Field ilimradi wakamilishe Field report yao basi.. ila hawakuwaza mbele..
Mie nilitarget sehem ambay itaniwezesha kubaki kuendelea kufanya kazi.. na nikajituma kias kwamba siku nakamilisha Field yangu.. OFISI/IDARA nzima inasikitika.. wanatamani nibaki.
Inshort.
Fursa namba moja ukitaka uajiriwe.. ITUMIE FIELD vzr... Piga KAZI kweli kweli.
Pili.. Usiwe MTu wa kuwaza HELA.. yaan unataka ULIPWE ukishagundulika hivy wakat wa Field.. imekula kwako.
Tatu.. SOFT SKILLS.. ukiachia hizo skills kitu kingine cha muhimu UJUZI ulio nje ya kile unavhofanyia field.
Mfano. mimi wakat nafany Field kina baadhi ya wafanyakazi walidhani mimi ni IT wa IDARA.. kumbe siyo Profession yangu... Bali nilitumia vzr skills zangu za IT na kutatua changamoto mbalimbali.. kitu ambacho kilinipa Credit sana..
Kuwa mtulivu.. smart.. na mnyenyekevu.
After kumaliza Field KWA Kuwa MABOSS nishawafanya marafiki na wameona Utendaji kazi wangu.. after one week nikavutiwa WAYA... nikaripot SOMEWHERE.. ndipo nipo kwa SASA natumikia TAIFA.
Nakumbuka ile kazi wakiyokuzodoa nayo kuwa una jeuri kukataa kazi na kuwapotezea muda waajiri.Omba Mungu sana, kuajiriwa hakuna ujanja, ni Mwenyezimungu akiamua tu unapata, kuna jamaa yangu mmoja hivi alijitolea Kinyerezi 2, miezi 10 hakupata ajira, kipindi anajitolea akaitwa tena kujitolea TPA(seap program) mwaka mzima uliisha na ajira zikitoka yupo pale lkn alikuwa hapati ajira, ingawa alikuwa analipwa 1M kwa nwezi. juzikati ajira za TBA wakaitwa watu 280 huku wakiwa wanatafuta mtu mmoja akachukuliwa yeye (Mechanical Engineer 2).
Kuna mdogo wangu kamaliza mwaka huu AUTOMOBILE ENGINEERING, kapata kazi TOTAL bila connection walienda kuomba kurecruit watu wa automobile wanamchukua kisa ana gpa nzuri, kuna jamaa humu jamii forum, nilimkonect tu mahala wanatafuta maintenance engineer haikuchukua hata week 2 akaitwa kazini, na niliwapa watu wengi email watume maombi lkn ye aliitwa faster. .
Ukisikia mtu kapata kazi wala sio ujanja wake, bali nimuda tu umefika.
Ndio mkuu hio kazi aliipata KALINZI NYUMBANI .Nakumbuka ile kazi wakiyokuzodoa nayo kuwa una jeuri kukataa kazi na kuwapotezea muda waajiri.
KujiaminiMoja kwa moja kwenye mada...
Vijana wengi wanamaliza vyuo kila mwaka ilihali wengine bado tuko mtaani hatujui hatima ya maisha yetu.Mimi binafsi nimehitimu miaka kadhaa imepita nilipomaliza chuo nilikuwa na haraka sana ya kutafuta kazi miaka inasonga ni kama zile nguvu zimeisha nahisi uchungu kusikia mtu anaongelea mambo yanahusu kazi ilihali wengine tunahangaika sana..
Kwa kweli nimeitwa interview kadhaa lakini naona kama danganya toto tu walio na iyo kazi wapo tayari wengine tunapoteza tu muda..nimefikiria kila mtu anayeweza kunipa connection lakini nako hakuna matumaini.
Sasa wandugu wewe uliwezaje kupata kazi tupeane mbinu jamani stress zinazidi
Safi sana ulimsaidiaNdio mkuu hio kazi aliipata KALINZI NYUMBANI .
Nikiwa mfugale bridge nyie mnaita fly over.nmepigika nasubl gar flan nichukue mzgo napigiwa sm na rafk yang kwamba kesho ingia ubungo njoo geita kuaza kaz usje hata na vyet...ONLY GOD knows.
Nilipata GPA ya 4.5 chuoni kwetu wenye ajira zao wakanibeba fastaMoja kwa moja kwenye mada...
Vijana wengi wanamaliza vyuo kila mwaka ilihali wengine bado tuko mtaani hatujui hatima ya maisha yetu.Mimi binafsi nimehitimu miaka kadhaa imepita nilipomaliza chuo nilikuwa na haraka sana ya kutafuta kazi miaka inasonga ni kama zile nguvu zimeisha nahisi uchungu kusikia mtu anaongelea mambo yanahusu kazi ilihali wengine tunahangaika sana..
Kwa kweli nimeitwa interview kadhaa lakini naona kama danganya toto tu walio na iyo kazi wapo tayari wengine tunapoteza tu muda..nimefikiria kila mtu anayeweza kunipa connection lakini nako hakuna matumaini.
Sasa wandugu wewe uliwezaje kupata kazi tupeane mbinu jamani stress zinazidi