Kiukweli sehemu nyingi siku hizi ni connection japo zipo pia ofisi ambako wapo fair unabebwa na CV yako na kujiamini tu (kujibu kwenye interview). I'll share my experience kidogo:
JOB 1: After 1st degree nilijiendeleza na post grad na kabla sijamaliza nilihangaika kutafuta kazi bila kupata .Hatimaye nikapata kwenye Taasisi fulani hivi.Najua walinipa coz mkuu wa hapo anafahamiana na mama lakini najua pia I was qualified enough for the Job (so hapa walinipa kishkaji out of 50 candidates nilipata mimi).
JOB 2: Job two nilipata kupitia mtandao wa Zoom jobs...nilikua tu nachoka kukaa job one nikawa bahatisha bahatisha mitandaoni nikaona kazi iloendana na qualifications zangu nikaomba na nikapata. It was a prestigious International NGO.
Sikua na mjomba wala shangazi wala Danga [emoji3][emoji3] Iikua mimi na Mungu wangu na CV yangu no connection at all.
JOB 3: Three years and a few months later I landed my 3rd Job...again through Zoom jobs....I must have outgrown my 2nd job so nikawa nazurula mtandaoni nikakutana na kazi ilonivutia na NGO nyingine tena nzuri. Wenye ma NGO ni wazungu....na mie sina mjomba,shangazi wala shosti mzungu. Nikaomba kazi kwa CV tu bila connection. Nilifuata maelekezo yao nikaweka vigezo walivyotaka kwenye application. One week later I was interviewed and I got the job.
JOB 4 : Again CV....and a little connection!
C Plus Plus nnachojaribu kukuonyesha sio kila kazi lazima uwe na connection ila a good CV....Andika CV vizuri (Format ya CV iwe nzuri, Good writing skills inasaidia kwenye Covering letter na experience nzuri as per job requirements) hayo mengine unamwachia Mungu (Pray).
Usichoke ku browse mitandao kuona kazi mpya zinazotoka.Pia hakikisha kazi unayoomba unaimudu as in iwe ni kazi ambayo ukipewa unafanya ila usione kwasabu tu unataka kutoka mtaani....omba kazi ambayo hata ukiitwa interview inaonyesha kua una experience nayo.
Lakini pia unapopata nafasi ya kuitwa interview hakikisha unafanya background check ya Taasisi/Shirika uliloitwa.I Mie hua kibidi naingia LinkedIn kuangalia profile za management team (probably ndio watakao ku-interview) ili angalau niwaelewe career wise na niwape kile wachotaka.
Best of luck....keep trying your breakthrough is around the corne6[emoji173]
Sent from my SM-G955F using
JamiiForums mobile app