Kujuana kupo ila hutakiwi kukata tamaa. Nilishaendaga interview mimi nikashindanishwa na ndugu yake bossi na akachukuliwa huyo ndugu yake bosi. Hapo mabosi walikua wa2.ok mkuu
kwahiyo ulipokuwa unapeleka kuomba intern au kaziMku iyo kitu toa akilini ukiendelea kuwaza hayo nakuhakikishia hutapeleka barua hata1. Kwanza private unapeleka mwenyewe tofauti na serikalini hadi mpitie utumishi mnapokuwaga watu zaidi ya elfu kumi
kwenye barua nilikua naandika kuomba u-assistant nau internship. Niliamini kama nikipata tuu sehemu ya kujiegesha basi nishatoka.kwahiyo ulipokuwa unapeleka kuomba intern au kazi
Yes, Mimi ni mmoja wa watu iliyonisaidia..Now nipo kwenye kazi yangu ya kwanza toka nimalize chuo mwaka jana, bado sijaajiliwa fully ila ni half internship half employed...Asubuhi moja ya december 2019, niliamka kitandani nikiwa nawaza kesho yangu. Nilichofanya nikuchukua simu, kusearch na kutuma application kwa email kwenye kampuni nilizochagua.. Mungu si athumani ndani ya masaa mawili nilitumiwa email ya kuitwa ofisini kwajili ya mazungumzo. Bahati nzuri ofisi ipo moa ninaoishi so it was easy...Ndio leo nipo hapa..offcourse, ndoto yangu kubwa ni kufanya kazi na international organization... I hope Mungu atafungua muda ukifika...Vipi kusambaza CVs na application letters kwa email kwa taasisi zilizo mbali na unapoishi kuna ambae imeshamsaidia njia hiyo ?
Once again, please be informed we have advertised the following positions:
thanks a lotOnce again, please be informed we have advertised the following positions:
Child Rights Governance Specialist – Dar es SalaamFinance Officer – Kibondo, KigomaProcurement Officer (Buying) – Kibondo, KigomaProcurement Coordinator (Sourcing) – Kibondo, Kigoma
Kindly share the link with your network and encourage qualified candidates to apply. https://tanzania.savethechildren.net/careers
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
nimcheki naona zinazohitajika ila mimi ni Bsc computer science sipoOnce again, please be informed we have advertised the following positions:
Child Rights Governance Specialist – Dar es SalaamFinance Officer – Kibondo, KigomaProcurement Officer (Buying) – Kibondo, KigomaProcurement Coordinator (Sourcing) – Kibondo, Kigoma
Kindly share the link with your network and encourage qualified candidates to apply. https://tanzania.savethechildren.net/careers
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Mkuu kwa maana ya kwamba unatuma CV pamoja tu? na ni mpaka iwe kuna kazi imetangazwa au hata kama hawajatangaza kazi unatuma tuu?? Msaada please apoYes, Mimi ni mmoja wa watu iliyonisaidia..Now nipo kwenye kazi yangu ya kwanza toka nimalize chuo mwaka jana, bado sijaajiliwa fully ila ni half internship half employed...Asubuhi moja ya december 2019, niliamka kitandani nikiwa nawaza kesho yangu. Nilichofanya nikuchukua simu, kusearch na kutuma application kwa email kwenye kampuni nilizochagua.. Mungu si athumani ndani ya masaa mawili nilitumiwa email ya kuitwa ofisini kwajili ya mazungumzo. Bahati nzuri ofisi ipo moa ninaoishi so it was easy...Ndio leo nipo hapa..offcourse, ndoto yangu kubwa ni kufanya kazi na international organization... I hope Mungu atafungua muda ukifika...
Mkuu...hakukuwa na kazi iliyokuwa imetangazwa..nilikuwa natuma tu kujaribu bahati kuomba nafasi ya internship au kujitolea.....Kitu kimoja nilichokuja kugundua pale ofisini (miezi 2 baada ya kuanza kazi) ni kuwa walikuwa wana mpango wa kutafuta mtu ndio walikuwa wanajiandaa kutangaza..so kumbe nilipotuma kuomba nafasi wakaamua tu kunichukua direct na wala hawakutangaza tena...All the best mkuu.Mkuu kwa maana ya kwamba unatuma CV pamoja tu? na ni mpaka iwe kuna kazi imetangazwa au hata kama hawajatangaza kazi unatuma tuu?? Msaada please apo
Ahsante kwa mchango mkuu , so kwenye barua unaandika kuomba internship au sioMkuu...hakukuwa na kazi iliyokuwa imetangazwa..nilikuwa natuma tu kujaribu bahati kuomba nafasi ya internship au kujitolea.....Kitu kimoja nilichokuja kugundua pale ofisini (miezi 2 baada ya kuanza kazi) ni kuwa walikuwa wana mpango wa kutafuta mtu ndio walikuwa wanajiandaa kutangaza..so kumbe nilipotuma kuomba nafasi wakaamua tu kunichukua direct na wala hawakutangaza tena...All the best mkuu.
Wewe unaitwa kimbelembele. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilitaka niandike Uzi kuhusu Maswala ya Ajira etc..
Mie ni kijana bdo.
Wakat nasoma nilitamani kuajiriwa nikiwa BADO nikiwa nasoma Chuo.
Nilikosa kazi.. kwa miaka miwili mwaka wa pili ilikuw ni semester ya mwisho lazima Tufanye FIELD.
Nikaitumia hiyo FURSA.. kujijengea JINA, CONNECTION na UAMINIFU. ktk Taasisi nyeti niliyoenda kufanya Field.
Sikufichi.. wenzangu niliosoma nao Asilimia 70% walienda kufanya Field ilimradi wakamilishe Field report yao basi.. ila hawakuwaza mbele..
Mie nilitarget sehem ambay itaniwezesha kubaki kuendelea kufanya kazi.. na nikajituma kias kwamba siku nakamilisha Field yangu.. OFISI/IDARA nzima inasikitika.. wanatamani nibaki.
Inshort.
Fursa namba moja ukitaka uajiriwe.. ITUMIE FIELD vzr... Piga KAZI kweli kweli.
Pili.. Usiwe MTu wa kuwaza HELA.. yaan unataka ULIPWE ukishagundulika hivy wakat wa Field.. imekula kwako.
Tatu.. SOFT SKILLS.. ukiachia hizo skills kitu kingine cha muhimu UJUZI ulio nje ya kile unavhofanyia field.
Mfano. mimi wakat nafany Field kina baadhi ya wafanyakazi walidhani mimi ni IT wa IDARA.. kumbe siyo Profession yangu... Bali nilitumia vzr skills zangu za IT na kutatua changamoto mbalimbali.. kitu ambacho kilinipa Credit sana..
Kuwa mtulivu.. smart.. na mnyenyekevu.
After kumaliza Field KWA Kuwa MABOSS nishawafanya marafiki na wameona Utendaji kazi wangu.. after one week nikavutiwa WAYA... nikaripot SOMEWHERE.. ndipo nipo kwa SASA natumikia TAIFA.
😅😃....daaah unanikumbusha mbali sana adi leo Kwenye oral nikiona panel ya wale jamaa kiingereza kinanitoroka,na sijawahi bahatika kupata ya kiswahili.Bahati tu na Mungu
CV yangu hakuna mahali naweza tuma nisiitwe, NASEMA HAKUNA TZ HII UTUMISHI SIJAWAHI OMBA KAZI NISIITWE
Ishu kwangu ni Kujieleza, yaani hapo huwa nakua kama kuku aliemwagiwa maji. Kiingereza kinanisalitigi sana
Ila Mungu mwema siku nafanya usaili wa Oral wakaniuliza kiswahili maswali kama 4