Quote #1,
1. "Tatizo la vyama vya upinzani Tanzania nadhani haliko kwenye viongozi zaidi, bali liko kwenye mfumo mzima wa nchi kuhusu vyama vya siasa"
Mzee Kichuguu, kwenye hilo juu ninawalaumu upinzani waliohusika na kusaini mkataba wa kuanzishwa kwa vyama vingi pale Ikulu, maana wangekuwa makini na kutafakari kwa kina what CCM was offering them at the table, ninbawakumbuka sana waliosaini aliwemo Mheshimiwa Mtei, Marehemu Ngwillulupi, Seif Hamadi, Lipumba, Mtemvuu, Cheyo, na Masha. On one hand, tunawashukuru kuwa angalau tuna something kuliko tungeendelea na chama kimoja, lakini on the other hand the misery we are in, ni matokeo ya vision zao hao viongozi wa waasisi wa upinzani wetu, maana behind this miseryy we are in as a natin ndio hasa what was the CCM's vision!
Quote #2,
"Kwa vile chama cha siasa ni mkusanyiko wa watu, inabidi kihudumiwe na wanachama wake wenyewe badala ya kutegemea ruzuku. Inawezekana nia ya serikali kutoa ruzuku kwa vyama ilikuwa nzuri lakini mfumo unaotumika unakipendelea chama tawala na kudumaza vyama vya upinzani."
CCM na serikali yake haiwezikulaumiwa au kuwa responsible na matokeo ya sheria iliyokubalika na pande zote mbili wakati wa kuanzishwa mfumo huo, yaani upinzani na CCM, hapana, ni ukosefu wa vision nzuri kwa taifa letu na kukimbilia madaraka, kwa pande zote mbili za siasa kuanzia CCM, mpaka upinzani, ndio tatizo lililo tufikisha hapa, vyama vyote viwili ni lazima vibebe responsibility hii, lakini ukweli ni kwamba kuna sheria moja ya siasa katika dunia nzima, ni kwamba the incumbent hata siku moja huwa hapati ruzuku sawa na the sideliners, yaani upinzani!
Quote #3,
"Kwa upande mwingine, serikali imakuwa inatumia mamlaka yake vibaya kuwanyanyasa watu wanaochangia vyama vya upinzani, na hivyo kuvifanya vitegemee ruzuku ndogo wanayopata kujiendesha. Maoni yangu yanarudi kwenye kutaka mabadiliko ya katiba"
Hiii ni hoja hafifu sana, Serikali haijamnyanyasa mtu au watu wanaochangia vyama vya upinzani, the matter of fact mwenyekiti wa Chadema ni one of the most successful business man in Tanzania, na Mbunge wa Chadema Ndesamburo, sasa hii serikali inanyanyasaje wachangiaji na kuwaacha wapokeaji? Ukweli ni kwamba serikali hiyo hiyo ya CCM huwasaidia sana hawa viongozi wa upinzani wasifilisiwe na benki zetu, kutokana na kujikita sana na madeni yasiyolipika, na ndio hasa mfano wa kiongozi wa upinzani Cheyo, ambaye serikali ya CCM imamsaidia sana asinyang'anywe nyumba yake kutokana na kushindwa kulipa mkopo wa benki moja hapa bongo, kwa hiyo hii hoja hafifu sana!
Quote #4,
"Maoni yangu yanarudi kwenye kutaka mabadiliko ya katiba"
Hiii ndio hoja ya msingi sana, lakini the call za kuibadili hii katiba yetu, isiwe na nia ya kuilaumu CCM, hapana iwe ni kukubali kuwa wakati tunaanzisha hizo katiba, hatukuwa na vision nzuri ya matokeo yake, mbele ya safari, na ni makosa yaliyofanywa na pande zote mbili, yaani CCM na upinzani, unless ni sheria iliyoanzishwa enzi za chama kimoja!
Kwa kumaliza, ninasema kwamba vyama vyetu form CCM to upinzani, vyote vinahusika kwa lawama samba samba kabisa, na matokeo ya misery we are in as a nation kwani wote walihusika na kusaini walisaini uke mkataba in the 90s!