dangadunguri
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 1,278
- 1,303
Hawa walikuwa wakala wa vyuo flani. Wanaanza kujaza vyuo hivyo kwanza alafu ndio wapangiwe wa govt. Kwa sasa ni competence ya chuo ndio itakayo matter kwa wanafunzi na wazazi.ni kweli kabisa yani mambo yao ya second round mpaka fifth round ni utapeli mkubwa sana na ni wauaji kabisa wa ndoto za wanafunzi...
Ile tabia ya watoto wa masikini kuwapangia mavyuo ya private utakuwa ndio mwisho. Mtoto kakomaa amepata one kali unampangia lichuo ada 15m