24hrs
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,624
- 5,947
- Thread starter
- #261
cut off point zitakuwepo ili kuchuja wew na EEE zako nenda juco,tia,cbe,ifm uko watakupokea ila UDSM ,UDOM ,MUHAS,MZUMBE,SUA ni one na twoKwahyo kwa mtazamo huo cutting point zitakuwa hazihusiki? Lakini pia tusikimbie ukweli kuwa wanafunzi wote wanakuwa na ndoto ya kusoma vyuo vikubwa tu ambavyo ni udsm,udom, ifm na mzumbe ambapo hata tukichambua zaidi havizidi vitano.