Nini hatma ya TCU baada ya kauli ya Rais Magufuli?

TCU hawana kosa lolote na CAS hawana kosa, kilichopo ni changamoto za kushindwa kuelewa mfumo na kuukubali.
Haitatokea kamwe waombaji wote wapate chuo kizuri na kozi nzuri wanazozitaka wakati kuna ushindani, vigezo na ukomo wa udahili. TCU iko kusimamia zoezi zima la udahili na CAS ni mfumo wa udahili unaoweza kurahisisha na kuoanisha zoezi zima la udahili.
TCU nikama madalali sio?
 
Kila kitu na kila action ina side effects kibao japo imelenga sana mafanikio. JPM ni rais mwenye mitazamo tofauti kidogo na usipokua na tafakari muda wote unaweza kua unatabasamu na kucheka kutokana na maneno yake yanayovutia. zamani wanafunzi ngazi ya chuo kikuu walikua wanakwenda direct chuon na kuomba nafasi kulingana na ufaulu. system hiyo ilikua nzuri japo ilikua inahitaji yafuatayo:
a) money: usafiri, kula njian na mahali pa kulala. kutokana na location ya chuo kila mtu alitumia gharama tofauti tofaut na wengne had zaid ya laki mbili kwa ajili ya kutafuta nafasi. na kwa kuwa vyuo ving vipo mijini probably wanafunzi waliokuepo vijijin system hii haikua rafiki kwao
b) ilihitaji knowledge ya wapi chuo kipo na kinatoa coz zipi: kwa mtoto wa kijijin wengi uelewa huo hawana kwani hata wazazi wao tu pengne hawajui.
baada ya CAS kuanzishwa nayo inahitaji gharama ambayo tunachukulia kua gharama hiyo ni sawa kwa wato waombaji. system hii imekua na longo longo nyingi sana pamoja na rushwa kibao.
KAMA KIONGOZI JPM KUAMUA HIVO LAZIMA AWE ANAFIKIRIA NAMNA YA KUMSAIDIA MTOTO WA KIJIJIN NA WA MJINI. TUTEGEMEE PIA UAMZI HUO BADO NAO UTALETA CHANGAMOTO NYINGI TU LAKINI NI BORA ZAID KULIKO CHANGAMOTO ZINAZOLETWA NA TCU HIVI SASA
Wengine tulipakua fomu mtandaoni unajaza na kwenda kwa mwenyekiti wa kijiji anagonga muhuri unaenda posta biashara imeisha unasubiria magazeti watoe majina.

Sasa leo unakesha stationary masaa 15 mtandao unajinyonga mpaka lini?
 
Sio lazima useme, waweza kukaa kimya maana unaonekana hujui CAS ilivyokuwa inafanya kazi na faida zake!
Haina faida hata moja kwa wanafunzi. Labda % walizokuwa wanavuta kutoka st.......

FUTA BABA, NASEMA FUTAAAAAAAAAA
 
Na vip kuusu ambao wapo chini ya NACTE,maana naona nacte washatoa tangazo maombi kwa njia ya mtandao yanaanza 15/05/17.Au hili rungu ni kwa vyuo vikuu tu?
 
ww ndo hajui chochote kwan hii cas ilikuwa autonomous au, wapo watu waicontrol ambao ndo tcu,ww ilikuwa ukienda pale na hela mkononi watu faster wanakupa chuo, ww ndo hujui chochote bashite ww
Kaka achana nae huyu atakuwa mnufaika wa tcu sasa jamaa kaamua kuifuta, nasema ifutwe. Kama ana banda lake hajaezeka anasubiria mgao wa tcu umeota mbawa.

Futaaaaaaaaaaaaaa
 
Sijawahi kuona mwanafunzi amechaguliwa chuo ambacho hakipo kwenye machaguo yake

Tatizo watu tuna ufaulu wa kawaida ila tunataka vyuo ambavyo vina ushindani

Hata tukianza kuomba directly,hawawezi wakakuacha wewe umefaulu sana wakanichukua mimi mwisho wa siku inabidi niende KIU
Mwaka jana yupo mtoto wa kaka yangu, amefaulu vuzuri tu ila alikosa machaguo yote, at da end akaambiwa kachaguliwa mbeya na akatumiwa namba ya admission officer
 
teyali washafanya utekelezaji mkuu bravo ruksa direct chuoni... tena chuo unachohitaj kwani haiwezekani wew mtu upo mwanza na uletwe mtwara edu wakat huohuo st agust ipo karibu na nyumbani...
Unatambaa hata kwa makalio umefika.
 
nashangaa sana kuna watu bado hawana imani na michango ya humu ndani ... elimu yetu ni ukombozi kwetu bla blah ndo mavyet feki 15,000+
 
Bora angesema Tcu ifuate matakwa ya waombaji

Mfano mfumo wa Tcu unamruhusu mwanafunzi kupendekeza chuo unachotaka kusoma visizidi vitatu

Katika hivyo vitatu mwanafunzi hata akichaguliwa haina tatizo kwa sababu kachagua yeye

Hivyo mh. Rais angeshaur vyuo vifuate maombi ya mwanafunzi kwenye selection
Siku zote TCU haifanyi kaz ya kumchagulia mwanafunzi Chuo Bali inachokifanya ni kumpa mwanafunzi option ya kuchagua Chuo anachokitaka au kukipenda then yenyewe inakuja inam- direct huyo mwanafunzi katika moja ya Chuo kati ya vile avochagua kulingana na ufaulu wa mwanafunzi kama utakuwa unaendana na vigezo vya Chuo husika. Kwan kila Chuo kina vigezo vyake hakiwezi kupokea wanafunzi ambao hawana vigezo, mfano chuo kama mhimbili akiwezi chukua mtu aliyepata daraja la tatu kusomea udaktari eti tu kwa sababu huyo MTU anataka au anapenda icho Chuo apo utalia utatoa machozi ila hutapata chance, kitu kingine ni carrying capacity ya chuo , mfano unaweza kuta Chuo kinahitaji wanafunzi 200 katka course fulani afu idadi ya walioomba n 450,, ivo chuo hakiwezi chukua wote hao hata km wote wanavigezo sawa, wanaobaki wanapelekw vyuo vingine ila sio nje na vyuo walivyovichagua sababu huwezi MTU mpeleka sehemu ambayo hapendi ndo mana wakaweka machaguo ya vyuo ambapo MTU anajaza vyuo km vitAno ivi anavyoona vinamfaa, ikiwa na maana kwamba huwezi kosa Chuo kati ya ivo vitano vingine ujaze Chuo kimoja tu ktk option zote ulizopewa, na mbaya zaidi umejaza Chuo kimoja tu afu ujaangalia entry requirements za Chuo husika na bado kuna competition mana wanaotaka icho Chuo ni wengi sio wewe pekee, ivo mm sijaona point ya maana kuhusu kuituhumu TCU kuwa inamchagulia mwanafunz chuo
 
Siku zote TCU haifanyi kaz ya kumchagulia mwanafunzi Chuo Bali inachokifanya ni kumpa mwanafunzi option ya kuchagua Chuo anachokitaka au kukipenda then yenyewe inakuja inam- direct huyo mwanafunzi katika moja ya Chuo kati ya vile avochagua kulingana na ufaulu wa mwanafunzi kama utakuwa unaendana na vigezo vya Chuo husika. Kwan kila Chuo kina vigezo vyake hakiwezi kupokea wanafunzi ambao hawana vigezo, mfano chuo kama mhimbili akiwezi chukua mtu aliyepata daraja la tatu kusomea udaktari eti tu kwa sababu huyo MTU anataka au anapenda icho Chuo apo utalia utatoa machozi ila hutapata chance, kitu kingine ni carrying capacity ya chuo , mfano unaweza kuta Chuo kinahitaji wanafunzi 200 katka course fulani afu idadi ya walioomba n 450,, ivo chuo hakiwezi chukua wote hao hata km wote wanavigezo sawa, wanaobaki wanapelekw vyuo vingine ila sio nje na vyuo walivyovichagua sababu huwezi MTU mpeleka sehemu ambayo hapendi ndo mana wakaweka machaguo ya vyuo ambapo MTU anajaza vyuo km vitAno ivi anavyoona vinamfaa, ikiwa na maana kwamba huwezi kosa Chuo kati ya ivo vitano vingine ujaze Chuo kimoja tu ktk option zote ulizopewa, na mbaya zaidi umejaza Chuo kimoja tu afu ujaangalia entry requirements za Chuo husika na bado kuna competition mana wanaotaka icho Chuo ni wengi sio wewe pekee, ivo mm sijaona point ya maana kuhusu kuituhumu TCU kuwa inamchagulia mwanafunz chuo
nani anai control hii CAS .. ni jibu kwanza ndo ulete habari zaidi
 
Bado NACTE/TCU ni regulatory bodies kwa kushirikiana na serikali/wadau wanaweza kurekebisha ikibidi.
we ulifiri ndalichako alikuwa sahihi kupandisha grades bila mahojiano yoyote ni zaidi ya genocide yanii yule mama wamchunguze lengo lake lilikuwa nini....
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom