Mbalamwezi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2007
- 800
- 171
Mkuu,
bila kuingilia uhuru wa baba yako kutoa maoni yake, na bila kupima uwezo wake wa kujenga hoja, naomba nikushauri kuwa ukishasikia maoni yake, tumia akili yako kuchambua, kupima na kufanya maamuzi. Wewe kwa mujibu wa maelezo yako, hujafikiri wala kupima, unakimbilia kufanya maamuzi yanayohusu maisha yako for the next 50 years kwa mtazamo wa baba yako wa miaka 40 iliyopita.
Japokuwa wanawake ni wale wale, lakini watu tofauti...si kweli kwamba utakayemuoa atakuwa na tabia mbaya au nzuri kama za mama yako ambazo zimemfanya baba ajute...au, si kweli kwamba mtakavyoendesha ndoa yenu ndivyo walivyoendesha wazazi wenu kwa miaka 40 iliyopita...na si kweli kwamba wewe uwezo wako wa kufikiri ni sawa sawa na wa baba yako...jitahidi utumie akili yako...usitumie ya baba yako kwa 100%
bila kuingilia uhuru wa baba yako kutoa maoni yake, na bila kupima uwezo wake wa kujenga hoja, naomba nikushauri kuwa ukishasikia maoni yake, tumia akili yako kuchambua, kupima na kufanya maamuzi. Wewe kwa mujibu wa maelezo yako, hujafikiri wala kupima, unakimbilia kufanya maamuzi yanayohusu maisha yako for the next 50 years kwa mtazamo wa baba yako wa miaka 40 iliyopita.
Japokuwa wanawake ni wale wale, lakini watu tofauti...si kweli kwamba utakayemuoa atakuwa na tabia mbaya au nzuri kama za mama yako ambazo zimemfanya baba ajute...au, si kweli kwamba mtakavyoendesha ndoa yenu ndivyo walivyoendesha wazazi wenu kwa miaka 40 iliyopita...na si kweli kwamba wewe uwezo wako wa kufikiri ni sawa sawa na wa baba yako...jitahidi utumie akili yako...usitumie ya baba yako kwa 100%