yapo yaliyokuaffect waache wazazi wako na yanayowasibu!
Burden ya kutofanikiwa kwenye ndoa yao yanawatosha
Usiwabebeshe lingine la kufanya watoto wao wasifanikiwe kwenye ndoa/mahusiano yao
Mhh i hate loneliness kwa kweli..nikiwaza kuzeeka sina a family of my own,hapana aisee,tuzinguane tu ,family is so important,tatizo ni over expectations mtu unadhani unaoa malaika kumbe binadamu wa kawaida tu ka wewe...
Dah...ngoja ntoke kwny huu uzi.
Mhh i hate loneliness kwa kweli..nikiwaza kuzeeka sina a family of my own,hapana aisee,tuzinguane tu ,family is so important,tatizo ni over expectations mtu unadhani unaoa malaika kumbe binadamu wa kawaida tu ka wewe...
..loneliness mbaya sana, kuzeeka pekeyo mbaya sana...bira liende tu kibishi, hatutagombana kila siku, zipo simu tutacheka, tutacheza, tutashikana mikono njiani, tutafarijiana kwa mengi..
faida ni nyingi kuliko hasara kwa hiyo bora kuwa na mtu..
Oh yes!
"Hatutagombana kila siku,zipo siku tutacheka,tutacheza,tutashikana mikono njiani,tutafarijiana kwa mengi....."
Ahsante Elli!
Ungesema hutak mtoto
Ningekushauri uwe priest
Natamani kum cc fulani.
mwenyewe najuta mno
mwenyewe najuta mno