Ninauguliwa na baba watoto wangu

Ninauguliwa na baba watoto wangu

Status
Not open for further replies.
Kwani kwa muda wote huo huna mtu unaembatana naye katika mahusiano?yeye naye anasemaje,katoa ruhusa uende au unataka utoke kiaina ili ukamuuguze huyo ex wako,maana atakuwa anajua in and out ya uhusiano wako na huyo mtu kabla yake yeye...
Hili ndilo tatizo la kutokuelewa aiseeeeee.....
Mleta uzi ahitaji ku disclose mambo yake binafsi, zaidi ameomba kusaidiwa
 
Asanteni kwa wote mlioguswa na ujumbe wangu huu;
Mungu awabariki tu jamani;

Kuna aliyeuliza kama nilishaingia mahusiano mengine, jibu ni hapana;
nilikuwa na changamoto kubwa ya kusomesha sikuweza tena kuanza mahusiano.

Yupo pia alieuliza why nimekosa nauli, hapa siwezi kusema sana ila kweli
hela ingekuwepo wala nisingekuja huku;

Naomba niweke tu namba yangu kwa ajili
ya hao wapendwa waliouliza huko juu 0755 557094.

Asanteni sana!

Pole sana member mwenzetu, ingependeza kama ungeweka contact yako ili tuungane nawe katika magumu yaliyokupata,.
 
Hapana mimi niko na hela kwenye airtel money sina sehemu nyingine kwasasa maana naamini kutunza humo kuliko nmb nnayochukulia mshahara.
Mara nyingi nazitoa zote bank na kuziweka huko nenda basi kwa wakala hata sasa hivi.
Au weka namba ya uhakika airtel.
Acha uswahili mkuu....
Mbona skuhizi sote tunatambua kwamba popote unaweza hamisha fedha toka mtandao wowote na kwenda mtandao wowote.....
Acha mbwembwe comrade....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom