Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,533
- 105,249
0755 557094Weka namba, tutume chochote tulichonacho
0755 557094Weka namba, tutume chochote tulichonacho
Mkuu, kama kweli unamoyo na nia ya kumsaidia bimkubwa.... basi mpunguzie ugumu na ujipeleke huko PM kuliko yeye ndie akuanze mkuu.Dada yangu pole kwa kuuguliwa ... tuonane Pm ili nione nikusaidieje japo soda ya njiani.
Amen....Asanteni sana watu wa MUNGU,
asanteni sana wote mnaonitumia michango yenu,
Mungu wa Mbinguni awabariki sana.

Ahsante mi nilijua ni kama 70 hivi sasa kumbe ni hela ya kujitolea tu kawaida.Mara ya mwisho kwenda Mbeya ilikua 45000. Sina hakika kama imeongezeka au imeshuka.
Hadi mbeya nauli ni elfu 40.Kwani Dar to Mbeya nauli bei gani?
Mara ya mwisho kwenda Mbeya ilikua 45000. Sina hakika kama imeongezeka au imeshuka.
Asante kwa masahihisho mpenzi.Hadi mbeya nauli ni elfu 40.
Na katika hili kwa kweli amechagua fungu jema. You can imagine mtu mmehangaika miaka wee afu siku ya siku unaishia kuondoka na watoto wako wanne bila chochote na hujui hata unaanzia wapi. But ona Mungu alivyo mwaminifu kwake, kama Daudi alivyosema "Sijawahi ona mwenye haki ameachwa", na ndicho ambacho Mungu anazidi kumfanyia.@Mandenyi pole sana. Ukweli una moyo wa ajabu sana wa upendo. Yaani umetelekezwa for 17 years na bado una huruma na huyo mtesaji? Ni kipaji cha pekee sana kusamehe na kuachilia mambo ili baraka zikufuate. Kikubwa kuweza kuweka ombi lako hapa ili tukuunge mkono.
Usijali dearAsante kwa masahihisho mpenzi.
Bora umetambuaTatizo humu tunachangia meza moja na watoto wetu, na bahati mbaya tunawaita kwa "mkuu" heshima
Amen.Mijadala kama hii inanibariki sana !
POLE Mamdenyi, usiende huko Mbeya na hela nyingi maana mgonjwa hatapona kama ni muhimu sana uza vi kuku vyako au ka kirikuu upeleke kwa mgonjwa.Salaam sana wana MMU wote;
Nimekuja kwenu rasmi kuleta taarifa hii ya kuuguliwa na bwana ambaye nimezaa naye watoto wangu wote wanne.
Kweli tulifikia mahali kimaisha tukatengana tokea 2001. Kila mmoja akiwa na maisha yake huku nikiwa na changamoto kubwa na kali za kulea watoto ambao ilibidi nibaki nao, hayo kwa sasa tuyaweke pembeni.
Hadi ninavyoandika huu uzi hakuna mtoto hata mmoja ambaye ameshapata kibarua wote wapo kwenye kuhangaika kutafuta kazi.
Ilipofikia mwaka jana mwishoni nikapata taarifa ya kuwa yule bwana niliezaa naye anaumwa, nikajuwa ni homa za kawaida tu.
Leo kaka yake ndo ananipigia simu na kusema kuwa mdogo wake amezidiwa sana na alikuwa amezimia ila kazinduka tena juzi.
Kwangu hiki kitu ni kikubwa nimeshindwa kukibeba.
Kwenu wana jamii kwa upendo wenu ninaomba mnichangie nauli ili niweze kwenda huko Mbeya kumwona huyo mgonjwa. Kama mnavyojua mahali penye ugonjwa mkubwa pia panahitajika hela ya matumizi mengineyo.
Kwa wana jamii wa Mbeya mnaweza kwenda kumuuona nyumbani ni Sae.
Naomba tu msinitukane maana nitalia;
Siamini kama ni wewe dadangu pole sana! Huo mchango tunatumaje?Salaam sana wana MMU wote;
Nimekuja kwenu rasmi kuleta taarifa hii ya kuuguliwa na bwana ambaye nimezaa naye watoto wangu wote wanne.
Kweli tulifikia mahali kimaisha tukatengana tokea 2001. Kila mmoja akiwa na maisha yake huku nikiwa na changamoto kubwa na kali za kulea watoto ambao ilibidi nibaki nao, hayo kwa sasa tuyaweke pembeni.
Hadi ninavyoandika huu uzi hakuna mtoto hata mmoja ambaye ameshapata kibarua wote wapo kwenye kuhangaika kutafuta kazi.
Ilipofikia mwaka jana mwishoni nikapata taarifa ya kuwa yule bwana niliezaa naye anaumwa, nikajuwa ni homa za kawaida tu.
Leo kaka yake ndo ananipigia simu na kusema kuwa mdogo wake amezidiwa sana na alikuwa amezimia ila kazinduka tena juzi.
Kwangu hiki kitu ni kikubwa nimeshindwa kukibeba.
Kwenu wana jamii kwa upendo wenu ninaomba mnichangie nauli ili niweze kwenda huko Mbeya kumwona huyo mgonjwa. Kama mnavyojua mahali penye ugonjwa mkubwa pia panahitajika hela ya matumizi mengineyo.
Kwa wana jamii wa Mbeya mnaweza kwenda kumuuona nyumbani ni Sae.
Naomba tu msinitukane maana nitalia;