Nina visa kadhaa vya kusisimua katika maisha yangu, ni wapi naweza kuiuza kwa watengeneza movie / series ?

Nina visa kadhaa vya kusisimua katika maisha yangu, ni wapi naweza kuiuza kwa watengeneza movie / series ?

mkata uzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2025
Posts
1,910
Reaction score
5,449
Ni visa ambavyo vimewahi kufanya watu wanisikilize kwa umakini mkubwa, kuwa na hamu ya kuendelea kuwasimulia nilipoishia na kuniomba updates.

Sioni haja tena ya kusimulia visa vyangu kama hakuna pesa, ni wapi naweza kuuza hivi visa ambavyo ni true life stories na nipate motivation ya kuingia deep zaidi ?

Mission za black money kutajirika kwa pigo moja mpaka kunusurika kwenye tundu la sindano na mikasa ya kuwawinda walioniunganisha kula nao sahani moja.

Kubambikiziwa kesi baada ya kuingia kwenye 18 za wazito na kukimbia napoishi mwaka mzima wilaya baada ya wilaya kama digidigi mpaka ilipobainika nimebambikiwa

Penzi la mtoto wa kigogo lilivyofanya ninusurike kupigwa risasi ya mguuni.
 
We baki tu na visa vyako watu tupo busy na visa vyetu hata bado havijaisha ndo kwanza vimeanza
 
Ni visa ambavyo vimewahi kufanya watu wanisikilize kwa umakini mkubwa, kuwa na hamu ya kuendelea kuwasimulia nilipoishia na kuniomba updates.

Sioni haja tena ya kusimulia visa vyangu kama hakuna pesa, ni wapi naweza kuuza hivi visa ambavyo ni true life stories na nipate motivation ya kuingia deep zaidi ?
Visa ya Nchi gani?🤣
 
Ni visa ambavyo vimewahi kufanya watu wanisikilize kwa umakini mkubwa, kuwa na hamu ya kuendelea kuwasimulia nilipoishia na kuniomba updates.

Sioni haja tena ya kusimulia visa vyangu kama hakuna pesa, ni wapi naweza kuuza hivi visa ambavyo ni true life stories na nipate motivation ya kuingia deep zaidi ?

Mission za black money kutajirika kwa pigo moja mpaka kunusurika kwenye tundu la sindano na mikasa ya kuwawinda walioniunganisha kula nao sahani moja.

Kubambikiziwa kesi baada ya kuingia kwenye 18 za wazito na kukimbia napoishi mwaka mzima wilaya baada ya wilaya kama digidigi mpaka ilipobainika nimebambikiwa

Penzi la mtoto wa kigogo lilivyofanya ninusurike kupigwa risasi ya mguuni.
Visa vyakoni vya kawaida sana. Vimeshatengenezewa movies kibao tayari. Lazima uwe na stori unique ndio utaweza kuiuza.
 
Back
Top Bottom