Nina ujauzito - nimekata tamaa

Nina ujauzito - nimekata tamaa

JF bana, unaweza ukahisi umeingia jukwaa la watakatifu mwisho nabaki kujiuliza tu nimeingiaje
mbona sina access ya jukwaa la watakatifu.....
 
wakati wa kukojoleshana walikojoa wote sasa ishu inakuja mbona matokeo mwanaume anakimbia kwani alijua anakojolea kikombe?
swali hapa ni nani aligharamika chumba gest,vinywaji,chakula,usafiri na kuhonga,kama ni mwanaume,then mchango wa mwanamke hapo kwenye tendo uko wapi kama sio kutake responsibility kwa lolote litakalotokea?
 
jacky 1 mbona umepotea mama?say something tujue kama upo usikate tamaa jamani.
 
Last edited by a moderator:
Duh... pole. Ila huko unakoenda adhabu ni mara milioni moja ya hii unayopata sasa...
 
swali hapa ni nani aligharamika chumba gest,vinywaji,chakula,usafiri na kuhonga,kama ni mwanaume,then mchango wa mwanamke hapo kwenye tendo uko wapi kama sio kutake responsibility kwa lolote litakalotokea?

Swali zuri sana mkuu.......
 
kwa ukimya wake hadi sasa inaonekana ameshavuta!!!! Dah si angenipa mimi huyo mtoto na yeye mwenyewe????
 
Ndio maana nilitamani sana tuanzishe kitengo cha kuhudumiana kisaikolojia, wengi wetu humu ndani wamejichokea sana sana ni bora kuna kucha na kuchwa tu BASI!!!!!
 
Pole Jack wangu.Kwani mlikubaliana ushike mimba? kama ndio asee ninamlaani huyo mtu mpaka afe. kama hamkukubaliana amsole Jack umelikoroga mwenyewe na ulinywe mwenyewe.
 
swali hapa ni nani aligharamika chumba gest,vinywaji,chakula,usafiri na kuhonga,kama ni mwanaume,then mchango wa mwanamke hapo kwenye tendo uko wapi kama sio kutake responsibility kwa lolote litakalotokea?

hapo sasa tumuulize muhusika aisee yawezekana ni dada wakati wa valentine kumwonyesha mwanaume mapenzi kama zawadi mwisho wa siku akapewa na yeye zawadi jamani
 
Ndio maana nilitamani sana tuanzishe kitengo cha kuhudumiana kisaikolojia, wengi wetu humu ndani wamejichokea sana sana ni bora kuna kucha na kuchwa tu BASI!!!!!

Na kweli namhurumia sana jack tunahitaji kuwa na kitengo cha saikolojia
 
mbna umechelewa sana ? ungekunywa simu tu wala hukupaswa kutueleza
 
Jaman mrejesho jack 1 bado yu hai jana nilifanya jitihada mpaka nikaonana nae alikua guest na tayari alikua ameshanunua sum niliongea nae sana mwanzo alikua analia tu lakini nilimshauri mm na aunt angu kidogo katuelewa japo hatukua na uwezo wowote wa kumsaidia ila alituelewa
 
Back
Top Bottom