Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,104
- 165,321
JF bana, unaweza ukahisi umeingia jukwaa la watakatifu mwisho nabaki kujiuliza tu nimeingiaje
mbona sina access ya jukwaa la watakatifu.....
mbona sina access ya jukwaa la watakatifu.....
swali hapa ni nani aligharamika chumba gest,vinywaji,chakula,usafiri na kuhonga,kama ni mwanaume,then mchango wa mwanamke hapo kwenye tendo uko wapi kama sio kutake responsibility kwa lolote litakalotokea?wakati wa kukojoleshana walikojoa wote sasa ishu inakuja mbona matokeo mwanaume anakimbia kwani alijua anakojolea kikombe?
JF bana, unaweza ukahisi umeingia jukwaa la watakatifu mwisho nabaki kujiuliza tu nimeingiaje
mbona sina access ya jukwaa la watakatifu.....
swali hapa ni nani aligharamika chumba gest,vinywaji,chakula,usafiri na kuhonga,kama ni mwanaume,then mchango wa mwanamke hapo kwenye tendo uko wapi kama sio kutake responsibility kwa lolote litakalotokea?
swali hapa ni nani aligharamika chumba gest,vinywaji,chakula,usafiri na kuhonga,kama ni mwanaume,then mchango wa mwanamke hapo kwenye tendo uko wapi kama sio kutake responsibility kwa lolote litakalotokea?
Inaelekea haielewi. Kwa msaada tu atembelee hii site ya wiki Polonium - Wikipedia, the free encyclopedia ndo atajua hasa hicho anachokisema.Hivi unaijuwa polonium wewe?
Ndio maana nilitamani sana tuanzishe kitengo cha kuhudumiana kisaikolojia, wengi wetu humu ndani wamejichokea sana sana ni bora kuna kucha na kuchwa tu BASI!!!!!