Wewe
jack 1, sasa unataka tukusaidieje ili kufikia malengo yako? Tukununulie SUMU?
Hivi wewe kwa akili yako ulishawahi kujiuliza haya? Itakuwaje ikitokea wazazi wako wote wamekufa? Utaishije?
Au, Huyo alokupa ujauzito nae amekufa, inakuwaje?
Na pengine, huyu kidume akakubali kisha mbele ya safri akakunyanyasa. Imekaaje hiyo? Ni bora ukamshukuru Mungu kwani keshakuonesha the guy sio responsible father. Songambele, na huyo mzazi wako hawezi kukutupa.
Ukiona umezidiwa sana ni PM nitakupa ushauri utakaoondoa uwepo wa shetani akili mwako. Kuwa jasiri, wewe ndiye nahodha wa maisha yako, sio baba wala mchumba wako huyo mhuni.
Siku ingine usipende kutanua miguu na kuachia vidume vinaweka tu bila utaratibu.
Onyo: Mimba unaweza kuitoa, Je, vipi kuhusu UKIMWI?