hivi huyu ni wewe pia/ ulikuja pata ule mchumba kwa sababu naona na wewe umekata tamaa![]()
mtunze mmachame mwenzangu aisee ule raha ya dunia tafuta hela lakini usiachehehehe huyo siyo mie, huyo kijana facial expression zake huwa zinanifurahishaga sana kule twitter...
asee nilimpata mbona kitambo tuu, mmachame saafi kama wewee tuu, hataki mchezo, ata nje sitoki kamwe...
raha ya wamachame kufikishwa kitonga mtu inabidi uwe umejipanga kweli kweli, ukiwa unaibia nje, ndani lazma utaumbuka
ngojea uzae ili ufe peke yako...kiumbe usikiue......tena yelekea wewe ni changu wa kuwategemea wanaume, chakarika senge la kike weweNinaujauzito mwanaume kakataa mzazi wangu hataki hata kuniona na kasema nisikanyage kwake sina kazi nimeshindwa cha kufanya nimeona bora ninywe sumu tu nisameheni kwa maamuzi haya sina uelekeo.
Ninaujauzito mwanaume kakataa mzazi wangu hataki hata kuniona na kasema nisikanyage kwake sina kazi nimeshindwa cha kufanya nimeona bora ninywe sumu tu nisameheni kwa maamuzi haya sina uelekeo.
si wangetumia hata mifuko myeusi ya sh miaSasa shoga ulivyopanua miguu bila condom ulitegemea nini...ningekupa pole km Ungekua umebakwa lkn kwa hiari yako hustahili pole we amua lolote cz utamu uliusikia wewe na shemeji..sisi hatukuwepo..kuna mambo ukifanya lzm ujiandae kwa lolote
Malaika nakupenda MalaikaHabari za Kiintelijensia zinasema mleta mada kafa dk 5 baada ya kupost huu uzi.
mtunze mmachame mwenzangu aisee ule raha ya dunia tafuta hela lakini usiache
yani ndo mpango mzima ase...huyu mwanamke mwaka wa nne huu sasa, mvumilivu kweli, very humble, na cha msingi ndo hicho anakiu na maendeleo adi ananifanya nisizubae zubae,,apa ni kuzisaka mpaka aseme basi mwenyewe
Wewe kichwaJack bila kukosea ulikuja hapa 2 weeks ago juu yahili na kusema umeachishwa kazi upo mwanza na jamaa yupo arusha na amekuambiausiwaambie ndugu..kikubwa kubali khali yako mpende sana kiumbe ulichobeba na wazayaliyo mema usikinenee mabaya kwa maana kiumbe ulichobeba kinajua wakati unaraha or uchungu anagalia sana mwanao wa kumzaa asije kukuchukia kutokana nanafsi yako ya kuwaza mabaya…
Kuna watu kibao wamezaliwa na kulelewa na mama zao bilababa ,kuna wamama wanahangaika kila siku kupata mimba na hawapati,kuna wanaumewanatamani kuitwa baba..hiyo ni zawadi kuna watu wanaitafuta jitunze.kuna watuwanaweza kukusaidia hata hapa kwenye post wameshajitokeza just pm mdogowangu.Mtegemee MUNGU kwa maana hujui akuwazialo hilo ni jaribu yakupasa kushinda amin unaweza ulitenda dhambi za kuzini sasa unataka kuongeza mauaji...
Wanawake tumeumbiwa roho yaupendo,uvumilivu,usiri hata kama moyo unavuja damu huwezi kujua,kuwajibika iweje wewe utake kujidhuru pamoja na kiumbeuli
pole sana,,usikate tamaa chukulia kama mapito..pengine ipo siku huyo mwanao atakusaidia..Ninaujauzito mwanaume kakataa mzazi wangu hataki hata kuniona na kasema nisikanyage kwake sina kazi nimeshindwa cha kufanya nimeona bora ninywe sumu tu nisameheni kwa maamuzi haya sina uelekeo.
umeongea ukweli mkuu...Pole sana hilo lilolokupata ninaihisi hali uliyona nirahisi sana kusema maneno kama wale waliyo nitangulia kwa sababu tu halijawapata ninaomba usinywe sumu yeyote ni pm nipe namba yako tutaongea vizuri
Wewe nawe hujui kuwafariji wenye matatizo! Hujawahi kuuguza mgonjwa wa magonjwa yasiyotibika nini? Mfariji binti wa watu asiji restishe in peace.