Nina ujauzito - nimekata tamaa

Nina ujauzito - nimekata tamaa

Kuna jamaa nimeachana nae sasa hivi........anauza Pollonium........tena bei rahiiiiiisi......
 
kukata tamaa ni sawa na kufa ila ushauri wangu usinywe sumu wewe endelea kuongea nae... ila jamani wanaume some of them their too selfish.. muullize wakati anakojoa alijua anakojolea kwenye kikombe?
 
Kama sikosei uliwahi kuleta thread kwamba mchumba wako kakukimbia baada ya kujta kuwa una mimba. na anataka uitoe. Pia ulisema kuwa mchumba wako Yuko Arusha na ni mtoto wa Askofu na wewe unaishi Mwanza. Nakumbuka wadau wengi walioa ushauri, je uliufanyikazi?
 
Ninaujauzito mwanaume kakataa mzazi wangu hataki hata kuniona na kasema nisikanyage kwake sina kazi nimeshindwa cha kufanya nimeona bora ninywe sumu tu nisameheni kwa maamuzi haya sina uelekeo.
Mrembo ivi uliahidiwa nini mpaka ukampa bila kinga? haya ndio imeshatokea lakini unadhani kujiua ni bora?kwanza utakua umemuuthi mwenyezi mungu pili umeua kichanga kisicho na hatia,huwezi jua huyo mtoto akija hapa duniani atakuja kua nani au atakusaidia ki vipi,kumbuka kuna wengi wanatafuta watoto hawana mwenyezi mungu wewe amekupa shukuru.
 
Ninaujauzito mwanaume kakataa mzazi wangu hataki hata kuniona na kasema nisikanyage kwake sina kazi nimeshindwa cha kufanya nimeona bora ninywe sumu tu nisameheni kwa maamuzi haya sina uelekeo.
Pole.Jaribu kutafuta watu wenye hekima uwaelezee wakushauri.Kuvunjika kwa koleo sio mwisho wa uhunzi
 
Haaaaa! kwani watoto wote humu duniani wanakunywa soya????

si ndio nashangaa??! Wakat nilipokuwa mdogo mama alikuwa ananilisha uji wa unga wa dona na muhogo huku akiwa ameunga chumvi
 
Ukifa ukienda huko kuzimu mwambie Baba wa taifa huku uliowaachia uongozi wanatuburuza na sasa tupo kwenye Katiba Mpya wanataka tufanye maamuzi ya wazi wakati twiga wanasafirishwa usiku na madini yanasafirishwa kwa siri .
 
ninaujauzito mwanaume kakataa mzazi wangu hataki hata kuniona na kasema nisikanyage kwake sina kazi nimeshindwa cha kufanya nimeona bora ninywe sumu tu nisameheni kwa maamuzi haya sina uelekeo.
umeshakunywa sumu au bado nisije nikashauri kitu ambacho hakipo!!lol wanaume jamani dah
 
Ninaujauzito mwanaume kakataa mzazi wangu hataki hata kuniona na kasema nisikanyage kwake sina kazi nimeshindwa cha kufanya nimeona bora ninywe sumu tu nisameheni kwa maamuzi haya sina uelekeo.

kama alikuwa mumeo pole sana. Ila kama alikuwa ni rafiki tu njoo nikusaidie kutafuta sumu ya kuua fasta. mimi kiukweli nakusamehe ila wadhani kwa mola utasiamama na kuomba msamaha kama unavyotuandikia?
 
kukata tamaa ni sawa na kufa ila ushauri wangu usinywe sumu wewe endelea kuongea nae... ila jamani wanaume some of them their too selfish.. muullize wakati anakojoa alijua anakojolea kwenye kikombe?

tatzo yawezekana hakuridhka na mmoja......... Naww usimlaumu mwanaume kwan alibakwa?? Yeye mwenyew na genye zake akatanua miguu akaanza kuzungusha kiuno na miguno ya maana.... Tena yawezekana alikuwa anadanganya hata nyumban kuwa naenda sokon kumbe anaenda kugegedwa anywe tu
 
tatzo yawezekana hakuridhka na mmoja......... Naww usimlaumu mwanaume kwan alibakwa?? Yeye mwenyew na genye zake akatanua miguu akaanza kuzungusha kiuno na miguno ya maana.... Tena yawezekana alikuwa anadanganya hata nyumban kuwa naenda sokon kumbe anaenda kugegedwa anywe tu

asinywe sumu kwa sababu ameshakufa tayari ila sasa nilikuwa nawaza wakati wa kujoleshana walikuwa wote matokeo yametoka mmoja anakimbia maana yake ni nini ndo maana nalaumu mwanaume
 
Mwenyewe yupo kweli au ndo ameshatekeleza uamuzi wake, mbona hatokei tena hapa ku-respond concern za wanachama?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
wakati wa kukojoleshana walikojoa wote sasa ishu inakuja mbona matokeo mwanaume anakimbia kwani alijua anakojolea kikombe?
mkome tena mbegu zetu wengine unaweza zaa mapacha watano kila mmoja ana kilo tano
 
Back
Top Bottom