The Only Kilo
JF-Expert Member
- Jul 16, 2010
- 352
- 87
Naomba unipm number yako please. muhimu!
Tulia mdogo wangu, usikate tamaa kiasi hicho. Wewe siyo wa kwanza kupatwa na jambo kama hili. Tuliza kichwa kwanza.Ninaujauzito mwanaume kakataa mzazi wangu hataki hata kuniona na kasema nisikanyage kwake sina kazi nimeshindwa cha kufanya nimeona bora ninywe sumu tu nisameheni kwa maamuzi haya sina uelekeo.
Ninaujauzito mwanaume kakataa mzazi wangu hataki hata kuniona na kasema nisikanyage kwake sina kazi nimeshindwa cha kufanya nimeona bora ninywe sumu tu nisameheni kwa maamuzi haya sina uelekeo.
asinywe sumu kwa sababu ameshakufa tayari ila sasa nilikuwa nawaza wakati wa kujoleshana walikuwa wote matokeo yametoka mmoja anakimbia maana yake ni nini ndo maana nalaumu mwanaume
Ninaujauzito mwanaume kakataa mzazi wangu hataki hata kuniona na kasema nisikanyage kwake sina kazi nimeshindwa cha kufanya nimeona bora ninywe sumu tu nisameheni kwa maamuzi haya sina uelekeo.
acha pumba ww, kama huna la kumshauri piga kimya. Huna tofauti na muuaji tu. Nyie ndio mnaokataa mimba.
tatzo linakuwa ni ufinyu wa akili kwa baadhi ya wanaume....... Lakin anafikir kunywa sumu ni kumkomoa nan?
Acha kudanganya watu na akili zao ungekuwa una nia hiyo ungeshakunywa bila hata kutangaza hapa kwanza hii story ni ya kutunga
Jamani nakuja hapa kuwatangazia muanzisha thread hatunaye tena
MOds naombeni mtoe hii post
:disapointed:
si ndio nashangaa??! Wakat nilipokuwa mdogo mama alikuwa ananilisha uji wa unga wa dona na muhogo huku akiwa ameunga chumvi
Watajuaje kama kweli mimba ni ya mshkaji?