Now or Never
Member
- May 20, 2022
- 45
- 109
Nimejaa hasira asubuhi asubuhi yani wakuu,
Naombeni ushauri japo naweza kuchukua maamuzi mengine.
Huyu mwanamke nimefahamiana nae Toka mwezi wa 4 mwaka huu na alikua anaishi.mbali sana na mimi.
Baada ya.mda kwenda tumekutana mwezi wa 8 tarehe moja, tukapima afya tukawa tuko vyema tu.
siku hio hio tukashiriki tendo la ndoa bila kinga.
Lakini baada ya siku 10, nilimpima UPT nikakuta ana mimba, Doctor akaniambia ina wiki kadhaa!😳😳😳
hapo ndipo wasiwasi ulipoanzia. Inakuaje ??
Leo ni siku ya 31, nimechukua vipimo vya ujauzito kwa mara ya pili, Doctor ananiambia inaonekana kuwa ina zaidi ya mwezi mmoja.
Kipimo chenyewe ni hiki.
inakuaje hapa wadau?
Je Doctor yuko sahihi mimba si yangu?
Mpaka sasa nashindwa.kufanya kazi sababu ya mawazo
Naombeni ushauri japo naweza kuchukua maamuzi mengine.
Huyu mwanamke nimefahamiana nae Toka mwezi wa 4 mwaka huu na alikua anaishi.mbali sana na mimi.
Baada ya.mda kwenda tumekutana mwezi wa 8 tarehe moja, tukapima afya tukawa tuko vyema tu.
siku hio hio tukashiriki tendo la ndoa bila kinga.
Lakini baada ya siku 10, nilimpima UPT nikakuta ana mimba, Doctor akaniambia ina wiki kadhaa!😳😳😳
hapo ndipo wasiwasi ulipoanzia. Inakuaje ??
Leo ni siku ya 31, nimechukua vipimo vya ujauzito kwa mara ya pili, Doctor ananiambia inaonekana kuwa ina zaidi ya mwezi mmoja.
Kipimo chenyewe ni hiki.
inakuaje hapa wadau?
Je Doctor yuko sahihi mimba si yangu?
Mpaka sasa nashindwa.kufanya kazi sababu ya mawazo