Monetary doctor JF-Expert Member Joined Oct 20, 2022 Posts 10,273 Reaction score 18,413 Jun 29, 2025 #41 Honestly naupenda ugali sana sana hata niwe km Elon musk siku moja ugali iz my favorite, plus machalarii, pilau na chapati usisahau nyama samaki
Honestly naupenda ugali sana sana hata niwe km Elon musk siku moja ugali iz my favorite, plus machalarii, pilau na chapati usisahau nyama samaki
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 47,836 Reaction score 132,252 Jun 29, 2025 #42 DR HAYA LAND said: ๐๐๐ Click to expand... Sure bro
Ambitious Joh Senior Member Joined Mar 20, 2023 Posts 184 Reaction score 443 Jun 29, 2025 #43 Consigliere said: Wakoloni walileta mbegu za mahindi kwa ajili ya mifugo, wamatumbi wakafanya ndalilo na hadi leo eti wanaita ugali kuwa ni chakula chao cha asili Click to expand... Unamaanisha hatukua na zao la mahindi kabla ya ukoloni??
Consigliere said: Wakoloni walileta mbegu za mahindi kwa ajili ya mifugo, wamatumbi wakafanya ndalilo na hadi leo eti wanaita ugali kuwa ni chakula chao cha asili Click to expand... Unamaanisha hatukua na zao la mahindi kabla ya ukoloni??
DR HAYA LAND JF-Expert Member Joined Dec 26, 2017 Posts 31,737 Reaction score 81,808 Jun 29, 2025 Thread starter #44 min -me said: Sure bro Click to expand... Ndo maana akili yako imetulia sana Mkuu
Raymanu KE JF-Expert Member Joined Jan 20, 2022 Posts 10,215 Reaction score 18,956 Jun 29, 2025 #45 Evelyn Salt said: Ugali sio chakula...... Mi nimeanza kuukataa mdogo mdogo, yani mwaka huu ndio mwaka wangu wa mwisho kula ugali. Click to expand... Ina maana bado utaula tu Hadi mwishoni mwa huu mwaka si ndio๐
Evelyn Salt said: Ugali sio chakula...... Mi nimeanza kuukataa mdogo mdogo, yani mwaka huu ndio mwaka wangu wa mwisho kula ugali. Click to expand... Ina maana bado utaula tu Hadi mwishoni mwa huu mwaka si ndio๐
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 47,836 Reaction score 132,252 Jun 29, 2025 #46 DR HAYA LAND said: Ndo maana akili yako imetulia sana Mkuu Click to expand... Umejuaje imetulia master ๐ ๐คฃ๐คฃ Thibitisha
DR HAYA LAND said: Ndo maana akili yako imetulia sana Mkuu Click to expand... Umejuaje imetulia master ๐ ๐คฃ๐คฃ Thibitisha
Fake P JF-Expert Member Joined Jan 3, 2017 Posts 5,027 Reaction score 14,939 Jun 29, 2025 #47 Evelyn Salt said: Ni kweli umetukuza kwasababu kiafrica mtoto hauchagui, chagua kushinda njaa au kula ๐ Ni nimeula basi tu, sikua na namna. Click to expand... Tena haswa usukumani mpaka kando ya ukulya utotoni asubuhi unapewa ugali na Hindi la kuchemsha Usukumie.
Evelyn Salt said: Ni kweli umetukuza kwasababu kiafrica mtoto hauchagui, chagua kushinda njaa au kula ๐ Ni nimeula basi tu, sikua na namna. Click to expand... Tena haswa usukumani mpaka kando ya ukulya utotoni asubuhi unapewa ugali na Hindi la kuchemsha Usukumie.
Thecoder JF-Expert Member Joined Aug 10, 2015 Posts 2,311 Reaction score 5,978 Jun 29, 2025 #48 Evelyn Salt said: Mdudu ndizi mbili kachumbari Click to expand... Lakini kaugali kalainiiiii lazima kawepo, ila nyie ugali uacheni tu๐ ๐ .
Evelyn Salt said: Mdudu ndizi mbili kachumbari Click to expand... Lakini kaugali kalainiiiii lazima kawepo, ila nyie ugali uacheni tu๐ ๐ .
DR HAYA LAND JF-Expert Member Joined Dec 26, 2017 Posts 31,737 Reaction score 81,808 Jun 29, 2025 Thread starter #49 Pia nasikia tetesi wale jamaa waliambiwa kuwa "Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta " inasemekana ugali umewaharibu
Pia nasikia tetesi wale jamaa waliambiwa kuwa "Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta " inasemekana ugali umewaharibu
The Icebreaker Platinum Member Joined Apr 24, 2014 Posts 34,404 Reaction score 103,850 Jun 29, 2025 #50 Hata Mama lishe wanajua kua Ugali sio chakula, Utawasikia "Chakula kimeisha,umebaki ugali tu"
mkorea JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 8,602 Reaction score 19,257 Jun 29, 2025 #51 Ila mahindi unakula?
Japkas JF-Expert Member Joined Mar 12, 2014 Posts 4,051 Reaction score 6,473 Jun 29, 2025 #52 Evelyn Salt said: Ugali sio chakula...... Mi nimeanza kuukataa mdogo mdogo, yani mwaka huu ndio mwaka wangu wa mwisho kula ugali. Click to expand... Na wali je?
Evelyn Salt said: Ugali sio chakula...... Mi nimeanza kuukataa mdogo mdogo, yani mwaka huu ndio mwaka wangu wa mwisho kula ugali. Click to expand... Na wali je?
Jerry001 JF-Expert Member Joined Apr 29, 2020 Posts 1,366 Reaction score 3,175 Jun 29, 2025 #53 DR HAYA LAND said: Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali. Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa. Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym. Click to expand... Bado hujala ugali wa mtama na uwele na kuku wa kienyeji aliyeungwa kwa maziwa wewe.
DR HAYA LAND said: Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali. Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa. Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym. Click to expand... Bado hujala ugali wa mtama na uwele na kuku wa kienyeji aliyeungwa kwa maziwa wewe.
N narumuk JF-Expert Member Joined Feb 10, 2018 Posts 2,965 Reaction score 3,592 Jun 29, 2025 #54 Evelyn Salt said: Msosi unadumaza akili huo mi hata siuelewi yani Click to expand... Ya kweli hayo!
Raymanu KE JF-Expert Member Joined Jan 20, 2022 Posts 10,215 Reaction score 18,956 Jun 29, 2025 #55 Mi siezi Acha Kula ugali, nitaula mpaka siku ya mwisho๐
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 47,836 Reaction score 132,252 Jun 29, 2025 #56 Evelyn Salt said: Msosi unadumaza akili huo mi hata siuelewi yani Click to expand... Kula na nguruwe bwashee
Evelyn Salt said: Msosi unadumaza akili huo mi hata siuelewi yani Click to expand... Kula na nguruwe bwashee
T The Evil Genius JF-Expert Member Joined Mar 21, 2014 Posts 6,151 Reaction score 20,068 Jun 29, 2025 #57 DR HAYA LAND said: Kazi ninayofanya haitaji kutumia wanga Sana Mkuu . Click to expand... Kwamba umekataa kula ugali ama umeachana na wanga kabisa? Maana wanga is unkwepekable things in life.
DR HAYA LAND said: Kazi ninayofanya haitaji kutumia wanga Sana Mkuu . Click to expand... Kwamba umekataa kula ugali ama umeachana na wanga kabisa? Maana wanga is unkwepekable things in life.
Isanga family JF-Expert Member Joined Feb 25, 2015 Posts 20,567 Reaction score 41,330 Jun 29, 2025 #58 Ugali umenidumaza sana aisee..
Japkas JF-Expert Member Joined Mar 12, 2014 Posts 4,051 Reaction score 6,473 Jun 29, 2025 #59 Thecoder said: Daah hongera mkuu ila Mimi kukaa bila kula ugali sijui kama ntakuja kuweza. Kaugali fulani kalainiiiiiii na rosti ya mdudu yenye tupilipili kwa mbaali ni kitu siwezi kukaa mwezi bila kula๐ ๐ Click to expand... Ugali kwa dagaa aisee
Thecoder said: Daah hongera mkuu ila Mimi kukaa bila kula ugali sijui kama ntakuja kuweza. Kaugali fulani kalainiiiiiii na rosti ya mdudu yenye tupilipili kwa mbaali ni kitu siwezi kukaa mwezi bila kula๐ ๐ Click to expand... Ugali kwa dagaa aisee
Sajo Platinum Member Joined Nov 8, 2010 Posts 4,177 Reaction score 7,281 Jun 29, 2025 #60 min -me said: Mimi situmii ugali kabisa toka kidato cha tano ila nimemisi ugali na kitimoto ๐๐๐๐ Click to expand... Sasa tuelezeni mnakula nini wakuu!
min -me said: Mimi situmii ugali kabisa toka kidato cha tano ila nimemisi ugali na kitimoto ๐๐๐๐ Click to expand... Sasa tuelezeni mnakula nini wakuu!