Black Tanzanite
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 585
- 773
Kmmmmk...kwamba reference code ni Doktori Jana B...🙌🤣Wali ni mbaya kuzidi ugali kwenye afya, na Ugali unapunguza mwili ndiyo, lakini mwili hauwezi, kamwe kujengeka kama wa Gym kwa kuacha kula ugali, mwili una shrink, na yes unakuwa shapeless; Mwili wa Gym ( ni wa Gym tu ndugu )!
Mwili wa Kuacha ugali unafanana na wa Dr Janabi, sasa kama mwili wa Dr. janabi niwa Gym, hapo ni sawa na WA kwako ni wa Gym.
Ulipolala tumeamkia dogo!
Kwani mbona kama kula ugali ni jambo la lazima jamani 😂😂😂Inategemea uelewa wako kwenye Ugali unaishia wapi..
Sasa ulianzisha mada ya nini kama hutaki majibu?Kwani mbona kama kula ugali ni jambo la lazima jamani 😂😂😂
Mimi ndo muanzishaji? 😁Sasa ulianzisha mada ya nini kama hutaki majibu?
UziMimi ndo muanzishaji? 😁
Yani wapenda ugali ni kama mmekwazika sana kusikia kuna watu hatupendi ugali
Wali, tambi na ugali ni vile vile tu mkuu..hapo hujaruka kituWali, tambi mbona vingi tu
Mkuu sijasema sipendi wanga nasema hivi sipendi UGALIWali, tambi na ugali ni vile vile tu mkuu..hapo hujaruka kitu
Ugali sio 😂😂😂Uzi
Mada
😄 😄
Yaaa! na hapa naenda kuukandamiza wa (Mahindi + Ngano) yaani Whole-grain kanusu kisosi,,, Sato na Figiri pembeni.... 😄 😄 😄Ugali sio 😂😂😂
We kula tu mkuu 😂😂Yaaa na hapa naenda kuukandamiza wa (Mahindi + Ngano) yaani Whole-grain kanusu kisosi,,, Sato na Figiri pembeni.... 😄 😄 😄
Hao Jamaa na wachaga ni WASENGE WASENGE SANA!KAtika kosa nililowahi kufanya ni kujuana na wahaya! Siwapendi sana
Nimekuelewa hapo mkuu,Mimi pia wakati Niko mdogo nilikuwa sipendi kabisa ugaliMkuu sijasema sipendi wanga nasema hivi sipendi UGALI
hata na mboga gani hapanaaaNimekuelewa hapo mkuu,Mimi pia wakati Niko mdogo nilikuwa sipendi kabisa ugali
Ila saizi ugali nyamachoma ni balaa sana aisee(mdudu)
Wanatakiwa wale nini?KATAA UGALI, UGALI NI MATESO.