dadangu
jje's mimi nilimwambia amtafute ili ajue source ya tatizo . Lakini pia there are sometimes tunakuwa kwenye bad mood na kupelekea kuwa na maamudhi ya majuto baadae namaanisha huyo jamaa] vivyo basi kwa mtazamu wang apige kimya kama jamaa hatajirudi asonge mbele na maisha yake
Ni rahisi wewe na mimi kusema dada yetu amuache mshkaji kirahisi wakati hatujui ni namna gani dada alimhifadhi jamaa moyoni, jamani mapenzi yanauma asikwambie mtu ndyo maana dada ngumu kwake kirahisi
Kwa kumalizia soma maneno haya ya mtunga zabur 'iTazama ilivyo vema na kupendeza ndugu wakae pamoja kwa umoja.Ni kama mafuta mazuri kichwani,yashukayo ndevuni,ndevu za Haruni,yashukayo mpaka upindo wa mavazi yake.Kama umande wa Hermoni,ushukao milimani pa sayuni,maana ndiko Bwana alikoamuru baraka,Naam uzima hata milele'