jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,585
mimi huo moyo wa kutoa sina mkuuSasa huko ni kuyaogopa mapenzi...na unachoogopa ndo kinakutokea...km una moyo wa kutoa we toa tu ,mapenzi hayana formula
hapo ndo salama yangu
mimi huo moyo wa kutoa sina mkuuSasa huko ni kuyaogopa mapenzi...na unachoogopa ndo kinakutokea...km una moyo wa kutoa we toa tu ,mapenzi hayana formula
sawa shemsiku zingine kubali ukweli
Oooh hongera sana kwa kulitambua hilomm JF imenisaidia sana, mwanzo nilikuwa natesa moyo wangu ila siku hizi moyo wangu ni kwa ajili ya kusukuma damu only
yaani big up kwa JF kwa kweli mimi imenipa faidaOooh hongera sana kwa kulitambua hilo
Ukiichukulia serious unafaidika shem...naaamini hata mtoa mada atafaidikayaani big up kwa JF kwa kweli mimi imenipa faida
hakika lazima afaidike akitulia na kusoma commentsUkiichukulia serious unafaidika shem...naaamini hata mtoa mada atafaidika
kweli shemhakika lazima afaidike akitulia na kusoma comments
Nilitoa kwa moyoUlikuwa unatoa kwa moyo au kwa masharti na masimango,wengi wenu mnatusaidia kwa masharti na masimango matokeo yake tukipata hatua ya kwanza ni kukata kamba au ulikuwa hujui kwamba jamaa hayupo serious na wewe..chagua mwenyewe
Hajawai nipa hata 100 yake mkuuYaani wewe dada ndani ya miezi minne tu umeshaachia moyo wako woo- o-te na kumpenda mtu kiasi hicho? Kuanzia sasa sahau kila kitu kuhusu yeye. And next time kabla ya kujiachia moyo wako umpende mtu sana angalia tabia sana ujaribu "kumsoma" kwa undani kwa kipindi kirefu sio miezi minne tu. Au labda alikuwa anakugharamia vitu vingi sasa umevimiss na alipokata mawasiliano ukaumia kwa kukosa hizo zawadi-sio kukatika kwa penzi
GudUzuri mi simlaziagi damu mtu wa hivy, hata bibie anajua akianzaga pozi tu namchanaga,
"Mama hivi ukiniangalia unaona nimepungua chochote, au unahisi labda nina ulemavu wowote mwilini kiasi cha we kujiona special hivyo?" Sirudii hio kauli inafataga actions...
Anaufyata na adabu inarudi mahali pake coz anaelewa kitachofatia nini baada ya hapo km akiendeleza utoto. Tushayapitia hayo but kikubwa kwa haya mahusiano ya kibongo bongo yenye uzushi mwingi don't ever again agree to be a victim. Weka principles juu ya vile unataka iwe kama mtu hakuelewi chapa yebo tu...
ulimuuliza katika hali ya ukali mwanao huyo??? wacha uteseke tuu......tatizo mnafikiri mwanaume ni bidhaa unayoweza kuimiliki bila VAT....!!!Nilimuuliza ktk hali ya ukali alisema kwamba anastress za kifamilia na hafkirii kuhusu mapenzi kwa sasa hivyo nimuache