Habari zenu
Nilikua na mpenzi ambae tumedumu kwa miezi minne sote tulipendana kwa dhati na kwakipindi hicho yeye ndio alikua ameanza kaz hivyo mshahara alikua hajaanza kupata hivyo kila nilipokua na kidogo sikusita kumpatia.
Kilichonifanya nije hapa jamvini ni kwamba mwanaume huyu amebadilika sana, hapigi cm nikipiga hapokei, nikimtumia jumbe hajibu kiukweli hali hii inaniumiza sana nashindwa hata kula,nimekua mtu wa kulia lia kila mara, tafadhali naombeni msaada wenu maana maji yamenifika shingoni.
Aliekuambia mwanaume anapewa ela nani?? MBITIYAZA eti shoga angu,mpenzi umpe ela???sio mume mpenzi tena wa miezi mi4? Unajiumiza bure tu. Sasa ukilia atapokea simu? Haya maliza kulia ndio ujue kuna maisha baada ya kujiliza liza na tuendelee na mambo yako.
Kwa jina la Yesu acha kulia sasa.futa machozi na ukaushe macho yako tazama mbele kwa kujiamini kwenye unachojishuhulisha nacho.Pay your full concentration kwenye hicho ukimtanguliza Mungu na majibu ya kumpata mume umpendae,awe huyo au mwingine utakae mfurahia.Hicho ulicho wahi kumfanyia au kufanyiana kisikusumbue kwani ni cha wakati huo na maisha ni lazima yaendelee aidha mkiwa pamoja au la!Mchumba wako huyo labda kuna vitu vilivyoko nje ya uwezo wake,au vyovyote vile vinazuia msionane.Hilo lisikutie shaka au kukunyima kula!No!Mahusiano ya miezi mine tu unapata shida hivyo?Say No!Fikiri,mbona ulikuwa unaishi tuvizuri kabla ya kukutana!Na nakuahidi bado tu utaendelea kuishi vizuri hata kama huyo hautakua nae tena!Habari zenu
Nilikua na mpenzi ambae tumedumu kwa miezi minne sote tulipendana kwa dhati na kwakipindi hicho yeye ndio alikua ameanza kaz hivyo mshahara alikua hajaanza kupata hivyo kila nilipokua na kidogo sikusita kumpatia.
Kilichonifanya nije hapa jamvini ni kwamba mwanaume huyu amebadilika sana, hapigi cm nikipiga hapokei, nikimtumia jumbe hajibu kiukweli hali hii inaniumiza sana nashindwa hata kula,nimekua mtu wa kulia lia kila mara, tafadhali naombeni msaada wenu maana maji yamenifika shingoni.
Vipi??Duh [emoji849][emoji2][emoji2][emoji2]
Mazingira alitakiwa ayatengeneze vp?Inaonyesha wewe ndie uliempenda na haukutengeneza mazingira ya urafiki kwanza kati yako na yeye.
Eti tulipendana, ukipenda usipopendwa haya ndiyo majibu sahihi, ulimkuta nashida ukahisi utazitumia kuteka akili na mapenzi yake kwa mpenziwe??Habari zenu
Nilikua na mpenzi ambae tumedumu kwa miezi minne sote tulipendana kwa dhati na kwakipindi hicho yeye ndio alikua ameanza kaz hivyo mshahara alikua hajaanza kupata hivyo kila nilipokua na kidogo sikusita kumpatia.
Kilichonifanya nije hapa jamvini ni kwamba mwanaume huyu amebadilika sana, hapigi cm nikipiga hapokei, nikimtumia jumbe hajibu kiukweli hali hii inaniumiza sana nashindwa hata kula,nimekua mtu wa kulia lia kila mara, tafadhali naombeni msaada wenu maana maji yamenifika shingoni.
Mazingira alitakiwa ayatengeneze vp?
Mama penzi la kumoyo hata la week 1 linauma sana.miez minne mbn midg sana kuweza kumsahau !!!!!!!!!!? duh hebu kumnukia mabaya yake utamsahau mapema sana !aisee nashukuru hyo stage ya makuzi ya kulilia men sijawah ifika bora niliivuka !yaan duh !hebu jitahd kudelete kila kitu chake
Ayaa.... kashajanjaruka huyo kwa hiyo usitumie nguvu nyingi wewe uache moyo usukume damu na usihangaike na mengineHabari zenu
Nilikua na mpenzi ambae tumedumu kwa miezi minne sote tulipendana kwa dhati na kwakipindi hicho yeye ndio alikua ameanza kaz hivyo mshahara alikua hajaanza kupata hivyo kila nilipokua na kidogo sikusita kumpatia.
Kilichonifanya nije hapa jamvini ni kwamba mwanaume huyu amebadilika sana, hapigi cm nikipiga hapokei, nikimtumia jumbe hajibu kiukweli hali hii inaniumiza sana nashindwa hata kula,nimekua mtu wa kulia lia kila mara, tafadhali naombeni msaada wenu maana maji yamenifika shingoni.
Mama penzi la kumoyo hata la week 1 linauma sana.
Dedication 'mapenzi jeneza ya barnaba' yatakwishaaa