jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,585
Hana haja ya kumtafuta chalii angu, apige kimya tu na asonge mbele.Mahusiano mazuri hujengwa na mawasiliano mazuri kwa kiasi kikubwa bila hivyo kutakuwa na tofauti baina ya ninyi wawili , nakushauri mtafute akueleze tatizo ni nini linalopelekea kupunguza mawasiliano
Wahenga walisema pata pesa tujue tabia yako ,sijui walimaanisha nini...
Hivi mahusiano ya 4 month yanaweza kumtesa mtu hivyo eeeh daaah watu tunatofautiana kabisaaa
Kikubwa muombe Mungu sana akutie nguvu. Ukiona sehemu huwezi usijipe shida, omba Mungu atakushika mkono na kukuvusha. Nenda kasome Isaya 41:10 itakuvusha mahali