Nina maumivu sana jamani, nahitaji msaada wenu

Nina maumivu sana jamani, nahitaji msaada wenu

Tatizo kubwa linalowakumba au kuwakuta akina dada ni kwamba mnapenda sana kuwakimbilia wavulana (vi~ben ten) badala ya kufanya maamuzi sahihi.

Ungeamua kuwa na mwanaume haya yote yasingetokea.
 
Jamaa ana stress za familia!? Enwey, mi nakushauri bora nawe ukae kimya.. Dawa ya moto sini moto? Then somethng will be revealed..en u'll decide.2po pa1 nawe katika kpnd ichi kigumu mkuu virginity
 
Dada angu fanya kila unaloliweza umfute kwenye sever ya moyo wako huyo ni zaid ya sheitwan.NB: Usianzishe mahusiano mapya wakati huu upitapo ktk sononeko kuu.
 
Mpe muda azowee pesa kwanza. Pesa Zina utamu kama ushamba wa kuja mjini. Akizowea atakurudia na kukuletea card za AM SORRY BABY na maua.

Pole sana mkuu
Umenichekesha sana. eti ushamba wa hela
 
Pole yako bi dada.

Ila ujitahidi next time usipende kiwehu! Hasa kwa mahusiano ambayo hata umri wa kuota meno hayajafika!
 
Tatizo kubwa linalowakumba au kuwakuta akina dada ni kwamba mnapenda sana kuwakimbilia wavulana (vi~ben ten) badala ya kufanya maamuzi sahihi.

Ungeamua kuwa na mwanaume haya yote yasingetokea.
C mvulana 29years
 
You cant keep a man who doesnt want to be kept!!
Move on.
 
Ukiwa na kazi au biashara inayokuingizia kipato ni vema ukafanya analysis ya kutosha pale ambapo unataka kuingia mahusiano...wengi(sio wote) wanakuja kwa maslah
1.Anajua hutomtegemea sana hivyo anapata nyapu ya buree
2.Atataka kukutumua kama daraja umvushe katika hali aliyonayo...

Alikuja Dr...mmoja enzi hizo...alipretend kunipenda sana ...alinipeleka site yake..baadae akadai tusaidiane kujenga nyumba yetu ili tufunge ndoa...nakumbuka nilimwambia hii statement tukiwa pale pale site...sijengi na boyfriend...aliumia tukiwa tunarudi njiani anaongea mwanzo mwisho...nilimwambia unless ni mume sitakuja kuthubutu kujenga na boyfriend...from there akili ilinikaa nikakaa kiujanja janja sana na kumbania kila kitu kuanzia mimi mwenyewe,akaona uzushi one day akaniambia siwezi kudate na mwanamke busy then hela yake siioni ...nilicheka sana kimoyomoyo coz nilishajua alitaka nini kwangu na nikajiandaa kisaikolojia....mwisho wa siku nilibreak up nae...kwa hiyo my dada jifunze kupenda kwa akili na sio moyo ukiwa na boyfriend...akiwa mume sasa ndo umpende kwa moyo...baadhi ya kaka zetu wamekuwa wavivu wanataka mteremko....

Save your heart and love for your husband sweetie.....
Asante dear I'll do that
 
Kama kweli unampenda hebu jaribu kumpa muda halafu hebu jiingize na wewe kwenye mambo ambayo yatakuweka busy kama kujumuika na marafiki,kufanya kitu unachopenda ukiwa na free time n.k
Pia kama hebu jaribu kukaa nae karibu uongeee nae(sio kwa ukali) kwa upole na utaratibu mzuri (jaribu kutongea nae sehemu tofauti kabisa na pale mlipozoea).
Note: unywaji wa pombe kupita kiasi hakuondei mawazo Bali unajiongezea matatizo. kila LA kheri na pia pole sana mapenzi ndivyo yalivyo
 
Back
Top Bottom