mwakije
Member
- Dec 3, 2020
- 20
- 20
Husika 'na kichwa cha habari hapo juu
Mimi ni kijana mwenye umri 30 'niliekua na malengo na mipango mbalimbali 'katika maisha moja katika ayo ' ni kuwa na mjengo ili nimefanikisha kwa 70%.
lakini sasa hadi hapa nilipofikia sidhani kama yataendelea na nitafanikisha au kuendeleza palipo baki 'nimesha kata tamaa kabisa ' twende kwenye mada
Nina kila dalili zinazo ashiria 'kua ni muathirika wa HIV.
Hivi karibuni nimekua na mabadiliko kwenye mwili wangu adi yananipa hofu imefikia hatu ya kukata tamaa kabisa na kutamani bora nife
Hayo yote yananifanya niwe mtu wa stress mawazo na kujiona sina samani na mlengo yoote kuishia njiani
'Natamani sana kwenda kupima naogopa kuchanganyikiwa kupokea majibu vibaya
Pia waweza nishauri chochote kile kunitoa kwenye hili janga
Mimi ni kijana mwenye umri 30 'niliekua na malengo na mipango mbalimbali 'katika maisha moja katika ayo ' ni kuwa na mjengo ili nimefanikisha kwa 70%.
lakini sasa hadi hapa nilipofikia sidhani kama yataendelea na nitafanikisha au kuendeleza palipo baki 'nimesha kata tamaa kabisa ' twende kwenye mada
Nina kila dalili zinazo ashiria 'kua ni muathirika wa HIV.
Hivi karibuni nimekua na mabadiliko kwenye mwili wangu adi yananipa hofu imefikia hatu ya kukata tamaa kabisa na kutamani bora nife
- Homa kwangu aziishi aipiti wiki bila ya kuumwa
- Maumivu ya kichwa kwa muda mlefu"adi nachanganyikiwa
- Joto kupanda
- kuwa na jasho jingi kipindi cha usiku
- viungo kukaza na mbadiliko ya ngozi ngozi inakua na muonekano wa kupauka kusinyaa kama mzee inanipa shida hii
Hayo yote yananifanya niwe mtu wa stress mawazo na kujiona sina samani na mlengo yoote kuishia njiani
'Natamani sana kwenda kupima naogopa kuchanganyikiwa kupokea majibu vibaya
Pia waweza nishauri chochote kile kunitoa kwenye hili janga