political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,801
- 5,788
Wiki 2 na siku 5 zilizopita nimetoka kuuza mechi( yani kupiga kavu) na demu ambae tunajuana kwa muda mrefu.. balaa likaja baada ya kupita wiki 1 na siku kazaa nilipata mafua makali lakini yakakata baada ya siku 2.
Siku niliyopata mafua nimelala ghafla tu usiku mawazo yakaja kuwa yule demu atakuwa amekuambukiza ukimwi. Nikaanza kuwa mtu wa mawazo nikaamua ku google dalili za mwanzo za ukimwi lohh karibu 3 au 4 ninazo mwili kukosa nguvu, magoti kuchoka, koo kuuma kama maumivu ya matonsil, pamoja na vipele vidogo vidogo kutoka mgongoni.
Wakuu napata mawazo mpaka kichwa upande wa kisogoni kunawaka moto.. nikaanza kuvurugwa na kuanza kumtumia demu meseji za ajabu kama vile "" kwanini umenifanyia hivi si ungesema tu kuliko kuniua demu aka react na kuniuliza kuwa anielewi ninachomaanisha nikamchana live kuwa kaniambukiza ukimwi.
Nikamwambia kama kweli unajiona uko salama twende tukapime dohhh alikataa kata kata na mimi ndio nikazidi kudata kwa mawazo nimembeleza tukapime wapi.. Nikajipa tiki tu direct kuwa mimi tayari ni muathirika, baada ya kufika wiki 2 nikaenda kupima mwenyewe kwakuwa nilishajikatia tamaa sikuwa naogopa kabisa.
Nilipimwa na kukutwa Negative nikaambiwa nipime tena baada ya miezi sita kidogo nikawa na furaha lakini baada ya muda yakaja mawazo mengine vijidudu ni ngumu kuonekana baada ya wiki 2 nikaanza upya mawazo..nikaenda kupima tena sehemu nyingine majibu yakawa yale yale mpaka nikaanza kubishana na mpimaji na kuanza kumuelezea dalili zangu akaniambia nirudi tena baada ya miezi mitatu..
Ikafika hatua nikatamani nitafute mganga amroge. Yule demu ili nikimwambia tukapime basi asikatae...Najua kuna wataalamu wa afya hapa JF naombeni msaada wenu kwa hili ninalopitia.
Thanks
Siku niliyopata mafua nimelala ghafla tu usiku mawazo yakaja kuwa yule demu atakuwa amekuambukiza ukimwi. Nikaanza kuwa mtu wa mawazo nikaamua ku google dalili za mwanzo za ukimwi lohh karibu 3 au 4 ninazo mwili kukosa nguvu, magoti kuchoka, koo kuuma kama maumivu ya matonsil, pamoja na vipele vidogo vidogo kutoka mgongoni.
Wakuu napata mawazo mpaka kichwa upande wa kisogoni kunawaka moto.. nikaanza kuvurugwa na kuanza kumtumia demu meseji za ajabu kama vile "" kwanini umenifanyia hivi si ungesema tu kuliko kuniua demu aka react na kuniuliza kuwa anielewi ninachomaanisha nikamchana live kuwa kaniambukiza ukimwi.
Nikamwambia kama kweli unajiona uko salama twende tukapime dohhh alikataa kata kata na mimi ndio nikazidi kudata kwa mawazo nimembeleza tukapime wapi.. Nikajipa tiki tu direct kuwa mimi tayari ni muathirika, baada ya kufika wiki 2 nikaenda kupima mwenyewe kwakuwa nilishajikatia tamaa sikuwa naogopa kabisa.
Nilipimwa na kukutwa Negative nikaambiwa nipime tena baada ya miezi sita kidogo nikawa na furaha lakini baada ya muda yakaja mawazo mengine vijidudu ni ngumu kuonekana baada ya wiki 2 nikaanza upya mawazo..nikaenda kupima tena sehemu nyingine majibu yakawa yale yale mpaka nikaanza kubishana na mpimaji na kuanza kumuelezea dalili zangu akaniambia nirudi tena baada ya miezi mitatu..
Ikafika hatua nikatamani nitafute mganga amroge. Yule demu ili nikimwambia tukapime basi asikatae...Najua kuna wataalamu wa afya hapa JF naombeni msaada wenu kwa hili ninalopitia.
Thanks