Nina hasira na wife, ushauri wenu please

Nina hasira na wife, ushauri wenu please

Hivi wakioa wanaume wenye akili tu mnapungukiwa nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]dah
 
Una madai ya kijinga unataka akufulie nguo wewe huna mikono, eti akutengee maji wewe ni kiwete acha uvivu tafta hela, bila haya wataka ufuliwe maji yako ya kuoga hutaki kubeba mpaka umtese mkeo hujui ulezi ni kaxi?
Acha uvivu aisee
Sasa faida yake ya kuoa hapo iko wapi kama atajifanyia hayo

Wanawake WA kileo ndoa zinawashinda
Kwakujazana mambo kama haya huko saloon
 
Kama unataka kumkomoa goma kuoga na nguo vaa hizo hizo chafu 😏😏

Malalamiko yenye mantiki ni uongo na kuchunguzana tu. Japo kuchunguzana kama huna la kuficha muache tu ajiridhishe...kwani shida nini?😐
 
Nani alikwambia uchukue alieishia darasa la saba miksa familia duni?
Darasa la Saba vipi tena jamani [emoji23][emoji23][emoji23]
Si tulikubaliana mtatuoa sisi,wenye degree wana kiburi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20210208-221105.jpg
 
Mkuu ni kwamba amebadilika baada ya yeye kuumwa, wewe ukamhudumia?

Au alikua hivyo tangu mnaooana mpaka sasa hivi...??

Kama alikua hivyo tangu zamani, then kosa ni lako kumuoa ukidhani atabadilika...

Na kama tabia ni imebadilika haikuwa hivyo zamani,...then... inawezekana kurekebishika, give her more attention,usimkaripie wala kumnunia, akipika onyesha umefurahia chakula,chukua au invest time kumuonysha she is loved, kidogo kidogo trust itarudi,and when she feels she can trust you,atakua rahisi kufunguka nini tatizo, na jinsi mtakavyolikabili pamoja... Kiufupi mkeo position yake iko threatened, hizo ni normal reactions kununa,kuona analofanya hu appreciate anaona why akuwekee maji ya kuoga, wakati kuna mwanamke mwingine anayekufanyia hayo?......rudisha trust then ndoa yako iko saved!, ...na usizunguke mbuyu kama sio insecurities zake then hujatuambia ukweli kuhusu wewe na michepuko, mkuu kama uli cheat muombe msamaha,muahidi hautarudia siku zisonge....
 
Kama unataka kumkomoa goma kuoga na nguo vaa hizo hizo chafu [emoji57][emoji57]

Malalamiko yenye mantiki ni uongo na kuchunguzana tu. Japo kuchunguzana kama huna la kuficha muache tu ajiridhishe...kwani shida nini?[emoji52]
Agome gome kuoga japo mwezi [emoji23]
 
Kama unataka kumkomoa goma kuoga na nguo vaa hizo hizo chafu [emoji57][emoji57]

Malalamiko yenye mantiki ni uongo na kuchunguzana tu. Japo kuchunguzana kama huna la kuficha muache tu ajiridhishe...kwani shida nini?[emoji52]
Kabisaaaaah
 
Man up dude. Sasa umetaja 1.5M mahari ili nini? Acha kulialia ongea na mkeo hapo hakuna cha kushauriwa hata kimoja. Vyote vipo chini ya uwezo wako kaa na mke wako zungumzeni.
 
Mshara wa taasisi fulani ya elimu ukitoka, mtoe mke wako outing na baada ya chakula mweleze haya yote uliyoyaandika hapa.
wasije wakaanza kugombana huko huko out wakavurugana, maana demu anaweza kuuliza kwaio umenileta huku ili uniambie hayo[emoji23]
 
Back
Top Bottom