kookaburra
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 563
- 1,410
Umemzalisha we mkunga?baada ya kumzalisha baadae nikamchukua awe mke wangu,
Umemzalisha we mkunga?baada ya kumzalisha baadae nikamchukua awe mke wangu,
Umegundua hapo tatizo ni mwanamke kwamba mwanaume hana sauti kwa mkewe shida inaanzia hapo kwanzaPunguza hasira, zungumza nae mwambie kinachokukwaza, asipoelewa rudi ujingani. Kuishi nyumba moja na mke mwenye makelele ningekuwa mwanaume ningeikimbia tu
Hivi wakioa wanaume wenye akili tu mnapungukiwa nini?
Una madai ya kijinga unataka akufulie nguo wewe huna mikono, eti akutengee maji wewe ni kiwete acha uvivu tafta hela, bila haya wataka ufuliwe maji yako ya kuoga hutaki kubeba mpaka umtese mkeo hujui ulezi ni kaxi?
Acha uvivu aisee
Umekua Mkenya Maana, wanaume wakenya wakiona kimeumana anatoka anamuachia mwanamke nyumbaPunguza hasira, zungumza nae mwambie kinachokukwaza, asipoelewa rudi ujingani. Kuishi nyumba moja na mke mwenye makelele ningekuwa mwanaume ningeikimbia tu
Ungejua tunayofanyia wenzio.. ungerudi kwa mkeo na magoti ,full zawadi.
UnanitishaUnaonekana hujapevuka kuingia kwenye ndoa matatizo madogo hayo unalalamika
Mpelekee moto mpelekee moto
Kumbe wewe mjinga unatusumbua bure!
Hakika kabisa.Mshara wa taasisi fulani ya elimu ukitoka, mtoe mke wako outing na baada ya chakula mweleze haya yote uliyoyaandika hapa.