GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,104
Nitafurahi mno nikisikia kuna mabadiliko haya kwani kwangu mimi GENTAMYCINE naona Overall Performance ya Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya kwa sasa ni below standard (very poor)
Natumai kwakuwa Mteuwaji Mkuu huwa Ananisoma sana GENTAMYCINE na tuko nae hapa JamiiForums tena hii mida ya Saa 10 Kamili alfajiri hadi Saa 12 Kamili asubuhi huwa anashinda mno katika huu Mtandao basi atanielewa na itampendeza kupelekea kuchukua maamuzi haya ambayo nayatamani yatokee.
Natumai kwakuwa Mteuwaji Mkuu huwa Ananisoma sana GENTAMYCINE na tuko nae hapa JamiiForums tena hii mida ya Saa 10 Kamili alfajiri hadi Saa 12 Kamili asubuhi huwa anashinda mno katika huu Mtandao basi atanielewa na itampendeza kupelekea kuchukua maamuzi haya ambayo nayatamani yatokee.