Nina haja ya dhati Lamomy wa JF kwenye maisha na huduma yangu daima

Ndugu zangu wapendwa sana,

Nawiwa kuwaalika na kuwakaribisha nyote katika karamu ambayo ni riziki ya chakula cha jioni.

Unaweza ukasema ni mapema sana, lakini kwakweli leo binafsi, kwa sehemu kubwa nimeishi kwa neno zaidi, nilikua site huko vikindu na kuhakikisha malengo na kazi zote za leo zinaisha na kutimia, maana huku ukiacha hata tofali tu, nnjenje kesho hulikuti. Basi ndio binadamu tena...

Vinginevyo nawashukuru sana nawatakia mapumziko mema ya usiku wa leo.
Mwenyezi Mungu awabariki sana nyote..
Aimen
Shukrani sana Mkuu!
 
Chezea polisi weyee, tena hawa wa bongo walio vurugwa, mbna kazi alikua nayo
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nacheka km mwehu!
Anko sijui aliiba nini?? Na alivyo bonge jamani nimemuonea huruma mimi!!!

Anko mabakuri aache janja janja ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mbona huu mwaka kaufunga vibaya??
 
Back
Top Bottom