pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 4,643
- 3,020
Kama huna kazi anza kufundisha tuition
🤣🤣🤣 Daahtembea na vyeti vyako umening'iniza kwa shingo labda watatambua ulivyo kichwa na kukupa punye kirahisi
Tumia elimu yako kwa kungua Tuition uanze kujifundisha kuwatongoza wanafunzi wkoWakuu sijui nakosea wap hawa wanawake kila nikimtongoza hanipi jibu la uhakika hivi nakosea wapi?
Cha Ajabu shule ya msingi nikiongoza, sekondari olevo and advance nikiongoza chuo pia nimenyakua second upper class 3.7GPA lakini uswahilini madem wananishinda!
Nakosea wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu sijui nakosea wap hawa wanawake kila nikimtongoza hanipi jibu la uhakika hivi nakosea wapi?
Cha Ajabu shule ya msingi nikiongoza, sekondari olevo and advance nikiongoza chuo pia nimenyakua second upper class 3.7GPA lakini uswahilini madem wananishinda!
Nakosea wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeandika barua Shule 3 Toka January hadi Leo sijaitwa licha ya kubandika contact zangu mle
Sent using Jamii Forums mobile app
tembea na vyeti vyako umening'iniza kwa shingo labda watatambua ulivyo kichwa na kukupa punye kirahisi
Wanafunzi hapana siwez wafanya hivyoTumia elimu yako kwa kungua Tuition uanze kujifundisha kuwatongoza wanafunzi wko
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hizo street skills nazipataje?Academic performance hamaanishi una akili nyingi.
Halaf hiyo gpa 3.7 mbona ya kawaia mkuu. Watu wana 4.2 na kuendelea..teazile coz ngumu lakin bado walipata shida na wanawake.
Inaonyesha unacholack ni street skills. Kuna skills za darasan na skills za mtaa. Za mtaa zitakusaidia sana kupata vingi. Za shule tumia tu oficin
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuuHiyo GPA ya 3.7 mbona ya watu wa kawaida sana me nilijua una first class
Mimi nataka kutumia akili kuwavuta hawa watoto wazuri bila kuwapa hata Mia labda wao ndo wanipe mimi
Hahaha haya mkuuBrother!!! Itafute pesa popote pale Duniani, hao viumbe watakutafuta wenyewe endapo utakua na mpunga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu nielekeze utofauti kati ya kutumia hisia na akili katika approach!uwanja au njia unazotumia ndo unakosea
Kama unatumia akili kama njia ya kupata wasichana unakosea mda mwingine tumia hisia na sio akili mda wote
Au tafta wenye akili wenzako labda hapo mtaenda sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app