Hivi hao wazazi hawana kazi za maana za kufanya? Hivi kweli wazazi hao wanakubali mtoto wao anachezewa tuu miaka mitano tuuu? Nilitegemea wawe wasuluhishi kwa watu walio funga ndoa lakini sio kwenye huu upuuzi unao uhita uhusiano unao fanana na course ya udaktari!
Hivi kwanini usimuoe tuu? Miaka mitano bado tuu? Uombe msamaha kwa kosa lipi?
Pengine anafanya kusudi ameona unampotezea muda tuu na ndoa utangazi....
Umemaliza, yan angekuwa karibu ningempa keleb 1kwanza seriously upo in relnshp 5yrs hakuna ndoa? yawezekana kwel tabia zako zimekuwa hazieleweki pia haoni dalili ya ndoa afanyaje?
Kama unampenda kweli mfuate huyu dada uzungumze nae la umetingwa tafuta muda mpigie simu zungumza nae akueleze kukaa kimya na wewe si dawa.