Nimuombe msamaha au nikae kimya tu na mimi?

Nimuombe msamaha au nikae kimya tu na mimi?

Huu ni mwaka wa mabadiliko sio mbaya mabadiliko yakaanzia kwenye mahusiano yako.
 
Nenda mpanda, ukikuta buti za mwanaume chini ya kitanda utupe mrejesho

tehteh........manyoya.......
kerosene-dirty-flower-factory-boots-and-rumpled-bed-Cafleurebon.jpg
 
Moyo una king'ang'anizi sana

mapenzi ni majinga sana kuna jamaa mmoja alimfumania mke wake akaita wazazi wa pande zote kwenye kikao baba yake akamwambia kama anakusaliti mie nashauri umpe talaka. Jamaa akasema kumwacha siwezi nimewaita mumuonye tu ila nampenda sana siwezi kumuacha. Baba yake aliinuka akaondoka kikaoni akasema nimezaa zezeta
 
Habari za mihangaiko wenzangu?

Nina tatizo na mpenzi wangu,tumekua na mahusiano ya kimapenzi takribani miaka mitano sasa,mapenzi yetu mwanzo yalikua mazuri sana kiasi kwamba hakuna aliyetegemea yatokee haya yaliyotokea kipindi hiki sasa,nikiri tu kwamba katika mahusiano yetu kulikua na viugomvi vya hapa na pale ingawa tulikua tunasuruhishana wenyewe na maisha yanaendelea kama kawaida.

Tatizo hasa limeibuka mwaka jana mwishoni baada ya mwenzangu kunishuku kuwa nacheat ingawa haikua kweli kabisa,nilikua na family issues ambazo zilinifanya muda mwingi kuutumia nikiwa karibu na wanafamilia wangu,ikumbukwe mapenzi yetu ni ya distance me niko Dar na yeye yuko Mpanda.

Basi tangu hapo ukatokea ugomvi wa halia ya juu mpaka wazazi wake wakajua na wakatusuruhisha yakaisha ila tangu pale akawakachange mara aniblock kwenye simu na mamambo mengine ya mauzi, wazazi wake wakimmuliza kama ana mtu mwingine anasema hana zaidi yangu na ananipenda sana, mwezi wa uliopita tumegombana kidogo tu kanidhiria na kaniblock tena kwenye simu mpaka leo.

Wakuu mimi kinachoniuma ni muda niliotumia kuwa nae tu ila mwenzangu anaonekana tayari ana mtu wake huko, nifanyaje?


Ktk mapenzi kupotezeana muda kupo.. Ila pole sana maana kwa wanawake ukipoteza mda unakuta na chances zako nyingi kufanya maamuzi sahihi ktk mahusiano unayotaka znapungua mana unajikuta desparate kama wazungu wanavyosema.
Cha kufanya kaa ongea na mwenzako ana plan zp na ww, muambie unalokwazika nalo. Ukiona amekuwa don't care basi focus na maisha yako zaidi hafu aache fate iamue.
 
Habari za mihangaiko wenzangu?

Nina tatizo na mpenzi wangu,tumekua na mahusiano ya kimapenzi takribani miaka mitano sasa,mapenzi yetu mwanzo yalikua mazuri sana kiasi kwamba hakuna aliyetegemea yatokee haya yaliyotokea kipindi hiki sasa,nikiri tu kwamba katika mahusiano yetu kulikua na viugomvi vya hapa na pale ingawa tulikua tunasuruhishana wenyewe na maisha yanaendelea kama kawaida.

Tatizo hasa limeibuka mwaka jana mwishoni baada ya mwenzangu kunishuku kuwa nacheat ingawa haikua kweli kabisa,nilikua na family issues ambazo zilinifanya muda mwingi kuutumia nikiwa karibu na wanafamilia wangu,ikumbukwe mapenzi yetu ni ya distance me niko Dar na yeye yuko Mpanda.

Basi tangu hapo ukatokea ugomvi wa halia ya juu mpaka wazazi wake wakajua na wakatusuruhisha yakaisha ila tangu pale akawakachange mara aniblock kwenye simu na mamambo mengine ya mauzi, wazazi wake wakimmuliza kama ana mtu mwingine anasema hana zaidi yangu na ananipenda sana, mwezi wa uliopita tumegombana kidogo tu kanidhiria na kaniblock tena kwenye simu mpaka leo.

Wakuu mimi kinachoniuma ni muda niliotumia kuwa nae tu ila mwenzangu anaonekana tayari ana mtu wake huko, nifanyaje?

Five years ya kulala na binti wa watu bila ndoa.....wewe ni mpuu.zi kama BOKO HARAM
 
Relationship isiyo na malumbano sio iliyoimarika. Yaelekea mkuu we ni msiri sana. Haumshirikishi kwene mambo yako na pia hauna control over her. Hadi anakublock? Alafu pia title yako na ulichoelezea haviendani
 
mapenzi ni majinga sana kuna jamaa mmoja alimfumania mke wake akaita wazazi wa pande zote kwenye kikao baba yake akamwambia kama anakusaliti mie nashauri umpe talaka. Jamaa akasema kumwacha siwezi nimewaita mumuonye tu ila nampenda sana siwezi kumuacha. Baba yake aliinuka akaondoka kikaoni akasema nimezaa zezeta

Kwakweli mapenzi naweza fanya mtu ukawa zezeta
mie mwenzio teja
 
Habari za mihangaiko wenzangu?

Nina tatizo na mpenzi wangu,tumekua na mahusiano ya kimapenzi takribani miaka mitano sasa,mapenzi yetu mwanzo yalikua mazuri sana kiasi kwamba hakuna aliyetegemea yatokee haya yaliyotokea kipindi hiki sasa,nikiri tu kwamba katika mahusiano yetu kulikua na viugomvi vya hapa na pale ingawa tulikua tunasuruhishana wenyewe na maisha yanaendelea kama kawaida.

Tatizo hasa limeibuka mwaka jana mwishoni baada ya mwenzangu kunishuku kuwa nacheat ingawa haikua kweli kabisa,nilikua na family issues ambazo zilinifanya muda mwingi kuutumia nikiwa karibu na wanafamilia wangu,ikumbukwe mapenzi yetu ni ya distance me niko Dar na yeye yuko Mpanda.

Basi tangu hapo ukatokea ugomvi wa halia ya juu mpaka wazazi wake wakajua na wakatusuruhisha yakaisha ila tangu pale akawakachange mara aniblock kwenye simu na mamambo mengine ya mauzi, wazazi wake wakimmuliza kama ana mtu mwingine anasema hana zaidi yangu na ananipenda sana, mwezi wa uliopita tumegombana kidogo tu kanidhiria na kaniblock tena kwenye simu mpaka leo.

Wakuu mimi kinachoniuma ni muda niliotumia kuwa nae tu ila mwenzangu anaonekana tayari ana mtu wake huko, nifanyaje?

Mtu wako anamtu wake,nawewe tafuta mtu wako asiye na wake ila wewe.
 
Ktk mapenzi kupotezeana muda kupo.. Ila pole sana maana kwa wanawake ukipoteza mda unakuta na chances zako nyingi kufanya maamuzi sahihi ktk mahusiano unayotaka znapungua mana unajikuta desparate kama wazungu wanavyosema.
Cha kufanya kaa ongea na mwenzako ana plan zp na ww, muambie unalokwazika nalo. Ukiona amekuwa don't care basi focus na maisha yako zaidi hafu aache fate iamue.
poa mkuu asante
 
Dah!!!Keshapata mwingine Huyo Unachotakiwa ni Kujiandaa kwa Kukabiliana maumivu
 
You cant chase love. Be cool and love will find you. Let her go, if she is yours she will come back mwenyewe. Unaumia kwa miaka minne uliyokuwa nae, hapo unalilia maumivu ya moto kwa miaka yako iliyosalia duniani.
Na hii wanayosema "you must fight for love" inakuwaje hapa?
 
@perry "nimuombe msamaha au nikae kimya .."

- Unamuomba msamaha kwa kosa gani ambalo hujatueleza?

- au wewe ni wale ukisusiwa tu unaanza kuandika mameseji mia mia, "naomba unisamehe kama kuna kitu nimekukosea". Halafu hiyo tabia ya kuomba msamaha kwa vitu vya kufikirika nilidhani ni ya wanawake tu hadi wewe wa kiume!!!

- haya bana..kila la heri hiyo nauli ya kwenda Mpanda si heri uende zako Zanzibar ukapumzike for a weekend aisee!!!!

- Mwanaume ni kujiamini, akitingisha kiberiti, wewe unatoa njiti unawasha kabisa!!! dah...nimesikitika! At first nilidhani "Perry" ni wa kike!!!! #sad
 
Hivi hao wazazi hawana kazi za maana za kufanya? Hivi kweli wazazi hao wanakubali mtoto wao anachezewa tuu miaka mitano tuuu? Nilitegemea wawe wasuluhishi kwa watu walio funga ndoa lakini sio kwenye huu upuuzi unao uhita uhusiano unao fanana na course ya udaktari!

Hivi kwanini usimuoe tuu? Miaka mitano bado tuu? Uombe msamaha kwa kosa lipi?

Pengine anafanya kusudi ameona unampotezea muda tuu na ndoa utangazi....
 
Back
Top Bottom