Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PJ..mbona unazidi kumpa mbinu ili ashinde hii game...mbaya zaidi unamtajia hadi chimbo la kwenda kutumia..dah...inabidi nikaze vinginevyo PJ na TANMO watafanikiwa...ila mie siuzi kuku wala nini..nasema na Bonus yangu tu ya umachinga kilo MBILI mkononi..na Mweka Preta KAWE CLUB kula BATA mwanzo Mwisho
Jombaa ujue nimemchagua hy binti..ananivurugaga ile kinyama...we kama vipi amishia majeshi kwa Afrodenzi..Arifu..ila huyo mtoto Preta acha niruke naye ...
Jombaa ujue nimemchagua hy binti..ananivurugaga ile kinyama...we kama vipi amishia majeshi kwa Afrodenzi..Arifu..ila huyo mtoto Preta acha niruke naye ...
Mkuu isijekuwa unataka niuze shamba la urithi ili ule pesa yangu, huoni kwamba Mtu chake ana miopsheni kibao mkuu?
Alianza na Smile akaja sijui nani mwishoe ndo akaamua kuangukia kwa Preta,
huyu jamaa atamliza tu Preta bana, mkabidhi kwangu kwenye mikono salama, umasikini wangu usikutishe, ipo siku nitakuwa tajiri kama Rizuwani...
Nikuambie kitu
Anampenda Jerry, Tom sidhani
Badili Avatar fasta
Mkuu TANMO..Yaani kabisa unataka mtoto Preta aje kwako kupata uzoefu wa kushinda njaa?...hahahahahaha...vibaya hivyoo..acha Toto lije kwangu kula BATA...
Yani Kongosho ulivyosikia Jamaa ana hela ndo unampa hadi mbinu ili ashinde?
usiseme hivyo Bana, kwanza yeye mwenyewe mambo safi, hawezi kushinda njaa...
Ilii kumaliza ubishi we chukua Kongosho, malizana naye mi niachie Preta..
Unajua Kongosho anakuzimia kinoma sema anakosa pozi la kukuambia...
Maana yake namwambia hana chake
Kama mambo yake yako kitom tom
Bora aahirishe mapema kabla hajafungwa vibaya sana na TANMO
Naona unanitia Chaka Mkuu TANMO..hapana..mie nina msimamo bana kwa Preta sitoki Ng'o..kama vipi wewe jiweke kwa kongosho
Maana yake namwambia hana chake (anajaribu kukukatisha tamaa kwa Preta)
Kama mambo yake yako kitom tom (Kongosho anamzimia sana Tom)
Bora aahirishe mapema kabla hajafungwa vibaya sana na TANMO (kwa maana kwamba TANMO amchukue Preta, Mtu Chake akose labda atamfikiria Kongosho)
nimeona juhudi za watu za ku to ngoza,
kila la kheri wakuu.
Mi thimo kwakweli
We nae usianze kuleta kauli za Wanasiasa hapa bana!...Wewe una hela mimi nina Mungu.. lol
Aisee, hii kali ya kufunga mwaka!....du!usiseme hivyo Bana, kwanza yeye mwenyewe mambo safi, hawezi kushinda njaa...
Ilii kumaliza ubishi we chukua Kongosho, malizana naye mi niachie Preta..
Unajua Kongosho anakuzimia kinoma sema anakosa pozi la kukuambia...
Aisee broda,Naam,
ndo maana nakupendaga Kongosho,
heb nipe ma mbinu mengine basi ya kumnasa mtoto yule.
nikimpata tu Preta tutagawana umasikini na vijisenti vyake, manake nasikia kwao mambo safi kweli kweli..
Naona PJ ameanza kudai kamisheni kabisa manake anajua nikifanikiwa nitakuwa nimeupiga teke umasikini..
- ..hahahahahahaha...mkuu mbona unaomba msaada kwa jirani...nishakuambia kuwa Preta wangu..yeye wakishua mm mtafutaji..tena nilishapitia maisha ya kishua..ila Kongosho ananimaliza..Tom ndio jembe mkuu..ila naweza badili ili mtoto ajae kwenye 18 zangu wazo zuri..
nishapanga Kumpa zawadi siku ya Boxing Day ..