Nimpende nani JF

Preta popote ulipo umeona jinsi Jamaa anajipendelea mwenyewe?
Njoo kwangu tupeane raha, achana na mtu Chake....

hapana......bora Mtu Chake......jasti in kesi......ofu woldi ekonomi dizasta.........

 
:doh: :boink:Kwanza nikuulize wewe Meno yako ya mbele umeyachoka??:boxing:au huna kabisa ndo maana unakuwa mchokozi?????au unatamani kutembea na fimbo ya vipofu??wewe endelea nakuona unachezea kwenye 18 zangu!!:A S angry: Lawama sitaki nakuona
Nenda kwa fesibuku huko!!anamtu!

achana nao hao mpenzi....we si unajua kwako sipindui......kukuacha na kukurudia si umesema ushazoea......acha nivinjari na Mtu chake zis festivo sizoni......ikiisha narudi kwako....

 
hapana......bora Mtu Chake......jasti in kesi......ofu woldi ekonomi dizasta.........

Thanx..Mamiee Preta..baelezee hy ..anataka ukapate uzoefu wa kushinda njaa bana..mrembo kama wewe..eeh..niambie X mass tunaila wapi?..Bongoyo Island au Mbuja Island..mwendo wa Visiwani tu
 
:doh: :boink:Kwanza nikuulize wewe Meno yako ya mbele umeyachoka??:boxing:au huna kabisa ndo maana unakuwa mchokozi?????au unatamani kutembea na fimbo ya vipofu??wewe endelea nakuona unachezea kwenye 18 zangu!!:A S angry: Lawama sitaki nakuona
Nenda kwa fesibuku huko!!anamtu!

duh, baunsa kaja!
 
achana nao hao mpenzi....we si unajua kwako sipindui......kukuacha na kukurudia si umesema ushazoea......acha nivinjari na Mtu chake zis festivo sizoni......ikiisha narudi kwako....

Mpenzi Preta..mtose mazima KakaKiza..baki kwangu Ujilie vyako

duh, baunsa kaja!
Baunsa nini wewe...huoni mtoto mwenyewe anataka kuja kwangu..kijana kumbe ndio maana ulikua unaomba msaada kwa PJ eeeh
 
hapana......bora Mtu Chake......jasti in kesi......ofu woldi ekonomi dizasta.........


Yaani Preta, yaani hivi hivi.................yaani?? :frusty:

Poa Plan B ni kwenda kwa babu wapinzani wangu wote wageuke mijusi..

If you can't convince them, confuse them,, lol
 
Kwa sentensi hii
Tanmo twende tukarefresh gazeti letu la udaku
Tumchafue huyu binti

" Preta wa jf agonganisha mabwana watatu, habari kamili ukurasa wa 2123"

achana nao hao mpenzi....we si unajua kwako sipindui......kukuacha na kukurudia si umesema ushazoea......acha nivinjari na Mtu chake zis festivo sizoni......ikiisha narudi kwako....

 
Kwa sentensi hii
Tanmo twende tukarefresh gazeti letu la udaku
Tumchafue huyu binti

" Preta wa jf agonganisha mabwana watatu, habari kamili ukurasa wa 2123"

Kuna habari niliikuta Mahali inasomeka hivi:

[/QUOTE]Kumbe Preta wa Arusha ni kidume

na mwandishi Maalum.

Mtu maarufu humu jamvini anayetambulika kwa Jina la Dada Preta amegundulika kuwa ni Kidume cha mbegu ambaye ana wake watatu pamoja na watoto 11. mtu huyo amegundulika kwa jina la Athumani kambambili mkaazi wa Yaeda chini Jijini Arusha. Kutokana na tatizo la ukata pamoja na majukumu ya kutunza familia, Bwana Athumani (au Da' Preta kama alivyozoeleka humu Jamvini) kwa kushirikiana na Swaiba wake wa Karibu jina tunalihifadhi (ambaye jamvini amezoeleka kwa jina la Pi Jei) walibuni mbinu ya kujipatia kipato kutoka kwa memba wakware ambao masaa yote wanawaza kuduu.

Habari kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika zinapasha kuwa Bwana Athumani amekubaliana na Rafikiye (Pii jei) kuwa awe anampigia chapuo kwa wale wote watakaoonekana kutaka kumpata "Da' Preta" na kwamba Pii Jei ndiye amepewa jukumu la kupokea huo mshiko kutoka kwa wakware pamoja na kuwaambia venyu ya kukutana na "Da' Preta". imebainika kuwa wana mtandao mkubwa kwani kuna dada ambaye ni Mhudumu wa Pub moja maarufu Jijini Arusha ambaye amepewa jukumu la kuongea na Mkware yeyote anayetaka kulonga na "Da' Preta".

Vyanzo vyetu vimezidi kupasha kuwa Bwana TANMO alipojaribu kurusha kete yake kwa gia ya kwamba yeye ni fukara lakini yuko tayari kumpenda "Da' Preta" mpaka kifo kiwatenganishe, alipingwa vikali na Bana Pi Jei ambaye alimtaka akauze shamba lake la urithi ndipo ataweza kusikilizwa ombi lake. bwana mtu Chake ambaye alijitanabaisha moja kwa moja kwamba ana pesa anasemekana kukubalika zaidi na Ndugu Pii Jei ambaye anajifanya kumpa maujanja zaidi namna ya kumnasa "Da' Preta" ili Mtu Chake aingie kingi na kutoa Mshiko wake. tutaendelea kufuatilia kwa ukaribu na tutawajilisha iwapo Mtu Chake ataingizwa mjini ama la.[/QUOTE]
 
Poa Mtu Chake umenitangulia, halua haina makombo....​
  • We jidanganye tu....
    quote_icon.png
    By Preta
    acha nivinjari na Mtu chake zis festivo sizoni......ikiisha naenda kwa TANMO....





Na ubaki kwangu...preta bora urudi kwa KakaKiza ..lakini si TANMO
 
Poa Plan B ni kwenda kwa babu wapinzani wangu wote wageuke mijusi..

eeeh Mijusi tena...duh....

Dah, kwa nini mkuu?
Mkuu tumetoka mbali ujue.

Sawa lakini kwa Preta hapana..halafu sitisha huo mpango wako wa kwenda kwa Babu..au Babu wa loliondo?
 
Sawa lakini kwa Preta hapana..halafu sitisha huo mpango wako wa kwenda kwa Babu..au Babu wa loliondo?

Babu wa Loliondo atanitoa nduki, naenda kwa babu mwingine.. we si unajifanya kidume Bana:washing:
 
Babu wa Loliondo atanitoa nduki, naenda kwa babu mwingine.. we si unajifanya kidume Bana:washing:​


Nenda mkuu labda njia hiyoo..itakusaidia Preta kukupenda...ila Kumbuka baba Mtu wa kigoma..mama Mtu wa tanga...nami nimekulia Sumbawanga...kuwa makini..TANMO..icje kukurudia hilo fataki...hahahahahaha
 
Nenda mkuu labda njia hiyoo..itakusaidia Preta kukupenda...ila Kumbuka baba Mtu wa kigoma..mama Mtu wa tanga...nami nimekulia Sumbawanga...kuwa makini..TANMO..icje kukurudia hilo fataki...hahahahahaha

Mhh, hii hatari sasa..
 
Nimpende nani...Nimpende nani

wazuri JF ni wengi ila kupata wa ukweli ni balaa
wengi nia wajanja watoto wa mjini wamejaaa Tamaa


asiwe kama FF kila kitu kupinga,awe kama Preta..ili nipate raha
sio Mwali naogopa kila mtu atamkubali....

JF chit Chat....
Kha! unamaanisha nini hapo? yaani kila mtu nitakae mtokea atanikubali? au mimi nitamkubali kila atakae nijia? hahahaha
 
Back
Top Bottom