ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,749
- 42,229
Angalizo kwa watakatifu sitaki mnifokee maana nina nyuzi kibao za maisha na za mijadala ya kijami siwaoni ila hapa mtaanza ooh unapenda ngono
Kwenye jukwaa la chit chat kuna uzi unaitwa JF diary nimeweka nyuzi zangu nyingiiii kama unavutiwa kusoma maandiko yangu ila hili hakikubariki tafadhari tembelea huo uzi na uchague uzi mmoja utakaokuvutia usome kila la kheri🙏🙏
Twende nalooo sasa 👇
Ni vitu gani vikifanyika au ukifanyiwa au ukiona kwa mpenzi wako ukiwa kwa bed vinakukata stim
Au ni vitu gani vikifanyika au ukifanyiwa au kuona kwa bebe wako mizuka inapandaa midadii inakua on yaan 🔥
Watu wengi huona au kufanyiwa vitu vinavyowakera na wanashindwa kusema kuogopa bebe atachukia au atajisikia vibaya
Maana mwingine akiambia badala achukulie positive ana panic na kususa juu
Na wewe ukiangalia upo in love unajikaza kisabuni huku unaungua moyoni huna raha wala fur aha
Ni nini kinakukata stim pale mjini 6*6
Nini kinakupa mizuka pale mjini 6*6
Una ujasiri wa kumwambia mpenzi wako
Kama kuna kitu hakikufurahishi?
Au ni kama samaki na maji mdomoni😜
NB: #Kulombana sio anasa
Lombana kwa faida kede kede zipatikanazo ndani ya tendo hilo
ShesRise_1 🤚
Kwenye jukwaa la chit chat kuna uzi unaitwa JF diary nimeweka nyuzi zangu nyingiiii kama unavutiwa kusoma maandiko yangu ila hili hakikubariki tafadhari tembelea huo uzi na uchague uzi mmoja utakaokuvutia usome kila la kheri🙏🙏
Twende nalooo sasa 👇
Ni vitu gani vikifanyika au ukifanyiwa au ukiona kwa mpenzi wako ukiwa kwa bed vinakukata stim
Au ni vitu gani vikifanyika au ukifanyiwa au kuona kwa bebe wako mizuka inapandaa midadii inakua on yaan 🔥
Watu wengi huona au kufanyiwa vitu vinavyowakera na wanashindwa kusema kuogopa bebe atachukia au atajisikia vibaya
Maana mwingine akiambia badala achukulie positive ana panic na kususa juu
Na wewe ukiangalia upo in love unajikaza kisabuni huku unaungua moyoni huna raha wala fur aha
Ni nini kinakukata stim pale mjini 6*6
Nini kinakupa mizuka pale mjini 6*6
Una ujasiri wa kumwambia mpenzi wako
Kama kuna kitu hakikufurahishi?
Au ni kama samaki na maji mdomoni😜
NB: #Kulombana sio anasa
Lombana kwa faida kede kede zipatikanazo ndani ya tendo hilo
ShesRise_1 🤚