Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
- Thread starter
- #181
Akhaa.... Babu umesahau kuwa mamangu yaani Mwanao alisusiwa mimba yangu na wewe ukaapa ndio utakuwa mlezi kamili? Hao wajomba wanatokea wapi tena?
Na wala hatonishindwa basi ujue.... si kwa dua hilo.
Wewee mzee Asprin wewee!?,.......ati nini? Nimshindwe? Anishindie nini?
......ushaambiwa huyu ni #SoulMate , our bond was made in heaven,....hakuna kitachotutenganisha tena, hata pawe na distance vipi!
#Sahau !!!!
Last edited by a moderator:




MMU
ve!