Nimewakumbuka, MMU Legends

Nimewakumbuka, MMU Legends

....hahhhaha, Husninyo huenda ndio miongoni mwa walioolewa, jf hawaitaki teeena...

Kaka BAK, upo? Hehhhehh

dahh! mi sijaolewa bana, kama kuna kasingle boy kalikosalia niconektie tu. cc Viol
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
  • Thanks
Reactions: Mbu
dahh! mi sijaolewa bana, kama kuna kasingle boy kalikosalia niconektie tu. cc Viol

Unaleta utani kwamba hujaolewa,ukisema ukweli ingawa sijui nitakufa presha
 
Last edited by a moderator:
Aksante Mbu kwa kutukumbuka. Wengine tushazeeka hata meno ya kutafunia ugoro hatuna.

Salamu kwa malijendi wote....
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hivi Smile alipotelea wapi au akibadili ID? Ingawa several times alibadili lkn alimake sure watu wanajua kuwa ni yeye.
Nimemmiss sana tu
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
........halafu wewe, hivi ni kwanini lakini?.....😉

Wewe endelea kujificha tu!
yaani hata sielewi, sijui nimekuwaje!! hadi wachumba zangu wa JF wote wamenikimbia.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

Similar Discussions

Back
Top Bottom