Nimewakumbuka, MMU Legends

Nimewakumbuka, MMU Legends

Hapo Red... RIP Dena Amsi

Mkuu Moskwito... ukiendelea kupotea hivi nakuadd kwenye ignore list yangu. Tafazali nirudishie mjukuu wangu MwanajamiiOne kama tabia yako ndio hiyo.

Nimepita mkuu, nimejisikia faraja sana kuwasoma malegends wa MMU.

Mi nipo sana, sema kuna Konda mmoja ananichefua sana... Tatizo bosi wake anampa kiburi basi imekuwa tabu tupu hapa mjini.

R.I.P Dena.
Bado tunakukumbuka .

Babu shikamoo.

Hii thread imenifurahisha mno kuona wanawapotevu wanarudi Asante Mbu .
Usipotee Sana. Uwe unarudi kutusalim 🙄

Maria Roza ndio kapotea jumla. Na Gaijin aka mwalimu sijui yuko wapi ? -🙁
 
R.I.P Dena.
Bado tunakukumbuka .

Babu shikamoo.

Hii thread imenifurahisha mno kuona wanawapotevu wanarudi Asante Mbu .
Usipotee Sana. Uwe unarudi kutusalim 🙄

Maria Roza ndio kapotea jumla. Na Gaijin aka mwalimu sijui yuko wapi ? -🙁

Doh... mwalimu Gaijin mamushka wangu bht sijui wamepotelea wapi yailahi. Kuna mzee wa nnya Fidel80 unamkumbuka???
 
Hapo Red... RIP Dena Amsi

Mkuu Moskwito... ukiendelea kupotea hivi nakuadd kwenye ignore list yangu. Tafazali nirudishie mjukuu wangu MwanajamiiOne kama tabia yako ndio hiyo.




Nimepita mkuu, nimejisikia faraja sana kuwasoma malegends wa MMU.

Mi nipo sana, sema kuna Konda mmoja ananichefua sana... Tatizo bosi wake anampa kiburi basi imekuwa tabu tupu hapa mjini.

Hahhhhaa,......
Hivi, yule klorokwin yupo?!
 
R.I.P Dena.
Bado tunakukumbuka .

Babu shikamoo.

Hii thread imenifurahisha mno kuona wanawapotevu wanarudi Asante Mbu .
Usipotee Sana. Uwe unarudi kutusalim 🙄

Maria Roza ndio kapotea jumla. Na Gaijin aka mwalimu sijui yuko wapi ? -🙁

....... haya dear, sintapotea tena sana maana dahhh, mpaka kiti changu cha MMU nimekikuta kimeota majani, kha!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom