Ukisema ukweli tu umeula wa chuyaaa,maana hata yeye kuna aliyoyafanya lakim hatakuambiaa kila mtu siri yakee we baki na yako watanzania kwenye ukweli bado hatujajifunza
Usijaribu kumwambia utakuwa umejiharibia. Maana yatafuata maswali mengi sana ni bora ukakaa kimya
Nani atakubali kuoa changu, bora ukae kimya sio kila kitu ni cha kuweka wazi hapa duniani.
Siku jamaa akijua kupitia hao wakenya utakuwaje?
1. Kumbuka mleta mada mwenyewe kashajichanganya, kahama kanisa baada ya hao wenzake wakenya kuja kusali kanisani kwao hadi mchungaji na huyo mchumba wake wakabaki njia panda..
Hamuoni kuwa siku siri zikianza kuvuja huyo mchumba wake atakuwa na ushahidi 100% na anaweza kumuuliza sbb ya kutokuwa muwazi kabla?
2. Mleta mada hakufanya ukahaba kwa kupenda... Ni mazingira yalimlazimisha.. Hamuoni kama akajieleza maelezo ya kutosha kwa bf wake jamaa Anaweza kumuelewa kama kweli ana mapenzi ya dhati na yy?
Nwy.. Kila mtu ana kitu anachokilenga... Bt for me
Marytina angefunguka tu... Kama huyo bwana Mungu kampangia atamuoa tu na kama hakumpangia bila hata kujua hiyo siri huo uchumba unaweza kuvunjia kwa sabb nyingine tu ya tofauti...
Marytina my love... Binafsi niliwahi kuwa na mchumba ambae alikuwa na mtoto.. (wakati namuapproach tyr alikuw na mtt wa miaka 2) niliwahi kumuhoji akabiambia kuwa alipewa Mimba na bf wake Wa kwanza akamtelekeza...
NIKAAMINI JUST KIRAHISI...
Bt kuna siku yule dada alinitafutia muda wa kunieleza siri nzito iliyopo moyoni mwake.. Alianza kwa kuniomba msamaha kwa kunidanganya ( wakat naanza nae mahusiano hakudhani kama tungefika mbali, so hakupenda sana kuianika siri yake kwa kila mtu) bt baada ya kuona kuwa nilikuwa serious Na yy akaona bora awe muwazi..
Story ikaanza.......
Mama yake na baba yake waliwahi kutengana na baadae mama akaolewa na mwanaume mwingine ( Alikuwa kijana tofauti na umri wa baba yake) so wakawa wanaishi na huyo baba yake mdogo au baba wa kambo ambae alikuja kuishi kwa mama yake... Siku moja mama akiwa safarini yule jamaa akambaka yule binti (alikuwa na age ya Miaka 15na alikuwa form one secondary) kwa bahati mbaya akabeba mimba na shuleni akafukuzwa.. Alipomwambia mama yake muhusika wa mimba mama akabisha na akaona iwe siri (asije akajaribu Kusema Mtu yyt akamdhalilisha mume wake) kutokana na umri mdogo yule dada hakuwa Na msaada.. Akalea mimba yake akazaa...
Aliponieleza ile siri nilimwonea sana Huruma na nikampenda zaidi tofauti na matarijio yake kuwa huenda ndo ingekuwa mwisho wa mapenzi...
Nilidumu na yule dada kwenye mahusiano kwa muda wa miaka minne ila kwa bahati mbaya tukaja kuachana kwa sbb tofauti kabisa... (niliamini Mungu hakunipangia)..
SO MPENZI
Marytina KUENDELEA KUFICHA HIYO SIRI
1. Kutaendelea kukutesa nafsi na kujishuku hata kama hao wenzio wa kenya hawavujisha lakini hutakuwa na ujasiri wa kuishi kimaisha.
2. Kutokuwa na uhuru wa kufanya ibada hasa kwa sbb hao wanasali kanisa ulilokuwa unaabudu
3. Hutakuwa na uwezo Wa kuongoza kanisani kwa kudhani wenzio wanakuelewaje ilhali wanakujua mwanzo mwisho....
Imagine hao wakenya wakaja kuhamia kwenye hilo kanisa ulilokimbilia, UTAHAMA TENA?
FICHUA MAMBO UWE HURU.. Tena wahi kabla jamaa hajastuka.. Akijua kabla hujamwambia wewe KWANZA UMEKWISHA... Hatakuwa na IMANI TENA NA WEWE.. ATAKUACHA VIBAYA SANA.
First Born.....