- Thread starter
- #401
Pole sana, i can feel it.!
thanks dear....nawaambia watu sina namna hawanielewi
Pole sana, i can feel it.!
mmh ina maana simfai kuwa mkee wa mwanaume yeyote ikiwa ukweli utajulikana????
sijui nitumie maneno gani unielewe ila najutiaMabinti wengi sasa mnaokoka ili kuolewa, kujifanya kwamba mmebadilika kumbe mnataka tu kuolewa, mkiolewa tu mnarudia fani yenu,ndio maana nikasema kunguru huwa hafugiki, ipo siku atarudi porini.
nliacha soon mama alipotoka jelaYaani ulikuwa unauza uchi?
ndio ndio nshapima ndio maana nawaza familia na tulishasex mara kadhaa ukumbuke nlipoanza naye uhusiano hatukuwa watu wa kanisaWe mwanamke mbona hutaki kujibu kama ulipima?!!
nashukuru kwa ufafanuzi mkuu, si unajua maneno ya kuskia!...sasa unapopata firsthand info kama hivi unaelimika. vipi kuhusu k kuwa used sana, yaani inalegea sababu inatumika sana...kuna ukweli wowote?
My advise, think it through before you make any stupid decisions that may take u back to that devilish way o hustle Ila this tyme itakua unafanya kuondoa stress!
Maana kosa si kosa if it was for the right reason! But this kujianika might cost u big time!
Nahc nimeshawahi kukuona kiambuu!
hapana dada, lengo siyo kukuumiza, nilikuwa namjibu huyo jamaa niliemquote, kiutani tu, tunajua wewe ni mchumba wa mtu kwa sasa.
Ingekuwa ni mimi, ningeprefer uniambie ASAP. Ila watu tunatofautiana sasa....
Kama ni mtu anayeongozwa ama kuyumbishwa na hisia na maneno ya watu....huyo itakuwa ni rahisi kumuelezea na kumbembeleza pale atakapoujua ukweli yeye mwenyewe....
Ila a rational person hatoelewa...better get it over with mapema.
so unaweza kuoa msichana kama mimi au kumpigia jamaa yako chepuo amuoe x-changudoa? i am asking kindly!!!!!!!!!
Ningekushauri uweke wazi kila kitu tu dada yangu.
mapema ni kumwambia na hapo lazma niachike na staki hilo litokee
mapema ni kumwambia na hapo lazma niachike na staki hilo litokee