Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

Jamaa ameshajua ila kaamua kuuchuna. ..usiniulize kwa nini
 
Mwenyewe nilimshtukia ana taka ushauri lakini ana mawazo yake tayari. Kila ushauri anabisha kwa kuweka visabu Mara ooh sijui nini.

nimejuta kumshauri mana naona kma nimepoteza muda wangu bure maana kama alikuwa na majibu yake asingetaka ushaur hapa.
 
Nilimiss thread zako!! Halafu ndio ukanifanyaje siku ile wewe mtoto mubaya sana.........
 
kama hukuambukizwa magonjwa ya zinaa hasa ukimwi na hauna lengo la kurudia kazi hiyo, usimwambie. Kama umeambukizwa, mwambie ili usimuue!
 
i missed u alot bw
si mkorofi si mtu wa gubu wala mihasira ila kuna wakati tukichelewa iwe kwenye sherehe wakati tukirudi akiona machangudoa anasikitika na kuanza kuufokea mpaka usukani wa gari....roho huwa inaniuma sana

anasikitika kwa vitendo wanavyofanya au anasikitika kwamba wamekosa nanma nyingine ya kuishi .......je ulishawahi kumchokaza unapoona anasikitika labda kwa kumwambia ikitokea ndugu au yeyote wa karibu akafanya uchangudoa au alikuwa changudoa atamwelewa vipi au atajisikiaje?
 
what if i keep it down as posibo ila akajajua baadae kupitia kwa wadada wakenya ambao wako hapa AR?
mi naona mueleze tu shida uliyoipata na ikasababisha ufanye nini. Kama njemba inakupenda kisawa itameza habari hiyo chungu. Akikutema usijali, kwani inaelekea wewe ni mwanamke jasiri na utaweza kufikia ndoto yako na hata furaha ya maisha yako.
 
Bora kumwambia mtu 'ukweli' hata akilia kuliko kumdanganya akafurahia. Ukweli unadumu lkn uongo una mwisho.
 
Bora uwe msiri tu...kuliko kufunguka sasa.ingekua umemueleza toka mwanzo ingekua vizuri.
 
tatizo nimekuwa mtu wa dini na sipendi kuendelea kuwa muongo kama mama alivyonidanganya
pia kuna waschana wawili wakenya wanaishi hapa ARUSHA na tulifahamiana KENYA kwenye hotel
Kama ulivyokiri tatizo lako ni kuwa mtu wa dini. Ulitakiwa kuwa mfuasi wa kristo na siyo mtu wa dini na hilo lingekufunua kuwa ukweli utakuweka huru. Hii fichaficha itasababisha uugue pressure na vidonda vya turbo bure.
 
Mungu akupe hekima na busara....hilo nalo lipite kama yalivyopita mengine
 
mmh ina maana simfai kuwa mkee wa mwanaume yeyote ikiwa ukweli utajulikana????
labda akufuate baada ya kujua ukweli, wanaume tunatafuta wanawake watakatifu huo ndio ukweli. Tunapenda kusifiwa juu ya wake zetu na sio maneno mengine. Lakini kama uko tayari kwa lolote mwambie usisite kutupa mrejesho tafadhali.
 
Sema uone kama unampenda ww nyamaza tuu km humtaki sema alafu utanipe mrejesho kitachokusibu im out
 
Jamani kama umeokoka basi "ya kale yamepita tazama yamekuwa mapya". Huna haja ya kumwambia kwa kweli
 
Inavyoonekana w hautaki kuwa huru,me naungana na Boniface muuleze ukweli kama ni mueelewa atakuelewa.Wanaume wapo wengi kama amepangiwa kuwa mume wako atakuwa ila unatakiwa kuwa mkweli,what if akija kuambiwa na hao wakenya na kwanza utaishi maisha ya kujificha mpaka lini?
 
Back
Top Bottom