Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

Ndiyo sababu umeambiwa na wengi humu usitie neno kaa kimya, labda upange mkakati kama siri yako kwa huyo mpenzi wako itavujishwa utajitetea vipi? Vinginevyo amua kuweka kila kitu juu ya meza kwamba. "Mie nina siri yangu nilikuficha kwa muda mwingi lakini sasa siri hii inanitafuna sana ni bora tu nikwambie. Mie niliwahi kuwa changudoa na sababu zilizonifanya niamue kufanya uchangudoa ni A, B, C na D" halafu uone kama penzi litaendelea ama litafikia ukingoni.

mmh!
ukiwajua machangudoa u will neva trust them hata kwa hatua mmoja
 
kardishian ameolewa na mbwea mwenzake, mimi mmasai wangu ni mtu cool sana na sii mtu wa wanawake kabisa sasa akijasikia mimi ni x-changudoa si patachimbika

Basically a Kardashian is any woman whom almost everyone has hit it, but still acts like she is the !sh.
 
Inahitaji moyo mwanaume kuukubali ukweli kama huo yani ukifikilia mashine yako imetumika na watu kibao,mwenye kubwa,ndogo,saizi ya punda ya mbuzi,magovi nk nk....ingawa kwangu naona si tatizo,tatizo ni je umebadilika kweli?..baas
 
unaulizwa umeanza lini mahusiano chuo .. wakati darasa la saba ndiyo umeanza.... haya umetembea na wangapi mmoja we wa pili.. kudadeki ukiweka list hapo coaster inajaa.. ha haha shoga wee mie nakudanganya mpaka unaona ukweli,,, ukibisha kitandani nalia wakati wa kunjunjana
ha ha ha we kiboko umenifurahisha lakini loool
 
najihisi nimefanya makosa makubwa mno na naona kama ikijulikana ntakuwa nalidhalilisha kanisa
Hakuna mwanaadamu aliyekamilika kila mtu ana past experience zake la muhimu ni kwamba umetambua makosa yako na umetubu kwa mola wako.Hakuna kosa lisilostahiki msamaha Marytina
 
Last edited by a moderator:
Bibie,kuna nguvu kubwa sana ya kusikia jambo "direct from the horse mouth" na kulielewa tofauti na kutoka kwa "third parties".
Nguvu ya kusema kweli,nguvu ya kuwa muwazi na nguvu ya kukiri zikiungana zinaleta kitu inaitwa "toba ya kweli",na hii toba ya kweli maana yake ni kuwa unajutia yale uliyoyoyafanya.
Hivyo,ukiwa muwazi kwa kumweleza ukweli wote,hakika nakwambia hapo utakuwa umeonyesha ni jinsi gani unajuwa kuwa hilo si jambo jema na unalijutia kweli,na hapo ndipo utaiona nguvu ya hayo mambo matatu hapo juu ambayo ni msamaha wa kweli.
Hakuna jambo jema ndani ya mahusiano kama uwazi na ukweli.
 
najuta kwa nini nlikubali kuwa kiongozi pale kanisani....unajua ukiwa kiongozi inabidi uwe msafi na uonekane kuwa msafi.
mimi kwa sasa ni msafi ila ntakuwa na muonekano wa kuwa mchafu kwa sababu ya past yangu.


Wewe msafi machoni mwa watu wasiojua ukweli. Je mbele ya Mungu wewe ni msafi? Unamwogopa Mungu au binadamu?
 
Tatizo dada ameokoka and the kind of freedom she is looking for wewe ambae hujaokoka huwezi elewa wala mshauri, my dear sister pole sana aisee, ila kama unataka maisha ya amani just tel him the truth, let him know ulikua changudoa na kama anakupenda kwa dhati atakuona kama bikra
 
my dear kua muazi kwake kama ulipangiwa awe ndo mumeo atakua bila mashaka hakuna kitu kizuri kama kua mkweli wa nafsi kamwe haikusuti kua makini usijejuta baadae

Subutu hiyo Siri yako nenda nayo kaburini labda kama una ngoma
 
Huhitaji kuteseka Biblia inasema ktik 1wakorintho 5:17 baada ya kuokoka wewe ni mpya
 
tatizo nimekuwa mtu wa dini na sipendi kuendelea kuwa muongo kama mama alivyonidanganya
pia kuna waschana wawili wakenya wanaishi hapa ARUSHA na tulifahamiana KENYA kwenye hotel

Muamin mungu,xema ukwel uwe huru na atakayepngana na ukwel huyo mwendazmu,upo njia tofaut fanya maamuz watafute marafk zako uliofanya nao huo uchangu waweke waz,fany hvo kwa famil yako na ksha kwa bf wako.atakayetengana na ww.mwambie cfany kwa kumridhsha mwanadam ispokuwa n mungu dada.ubarikiwe xana.
 
Ni bora useme ukweli mapema yaishe kuliko umdanganye au ukae kimya aje kujua baadaye KWASABABU atajua tuu kwa namna yoyote ile Dunia haina siri. Kuwa mkweli ila anza kumwambia Mchungaji wake nayeye atamwita na kumweka sawa.
 
You are not serious my dear habar za kutaftiana zimetoka wapi tena
Madame S.... This lady is not seriousat all!... We mtu gani unapewa ushauri lkn hizo reply zake duuh!.. Ooh nikiachika utanitaftia shemeji yako, frankly speaking lijistory lake la kutungaaa, i mean huu ni urongooooooo!!!!
 
Last edited by a moderator:
kwanini usipende full time? Apologise lady


Full time mapenzi haya kibongo au ???????? nipende full tme alafu siku nikiambiwa mama leo ndio mwisho nianze kulia na kusaga meno mwaka mzima, hapana aisee!!! siugui mimi kwaajili ya mapenzi, ndio maana napenda kiduchuuuuu huku nauachia moyo wangu kwa kicheka, siku nikiachwaa akuuuuu, nasimama nafuta vumbi kisha nasonga mbele ndani ya dk 30, kifupi sitaki stress.
 
jaman kama kuambiwa kashaambiwa sana post 360 zote znazungumzia ushaur na yeye mwwnyewe Amekua akijibu! tutakua tunarudia rudia yale yale akili kichwan mwake kama ataamua kumwambia au kukaa kimya kufa na yake moyon! tuishie hapa ili akija tena aje na mrejesho wa alioshauriwa
 
shosti ungelijua namna nlivyohangaika na kukomazwa kichwa kwa sasa nataka mume aniongoze na sii kujiongoza tena mwenyewe....
nataka mtu wa kufikiri kwa niaba yangu, nataka mtu wa kuplan kwa niaba yangu....staki tena kuwa kiongozi nataka kuongozwa

Naam...
 
Back
Top Bottom