respect wa boda
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 4,556
- 3,843
Sijui kwanini nimekupenda ghafla..!!!
Napenda sana mtu mkweli, especially Mwanamke mkweli..!! Umenivutia sana dada yangu una 60% za pendo langu..!! Huwa sipendi mwanamke Muhuni, kiruka njia ila sijui kwanini sitaki kuyafikiria haya juu yako..!!!
Hongera sana dada kama haya uyasemayo ni kweli, wewe ni mtu jasiri sana, hata kama unatumia Id ya kifocho hapa, ila kunaukweli kwenye story yako hii hatakama si 100% hizo asilimia 30 ni nyingi sana..!! Kuziweka wazi hizo tu kunaonyesha ni kiasi gani ulivyo Jasiri. Pongezi nyingi kwa hilo.
Pia dada Marytina, yakumbuke maisha uliyoishi bila huyo Mmasai, Yakumbuke maisha uliyoishi ukiwa bila mwanaume huku ukiwa umeacha Uchangudoa, Angalia ulipungukiwa kitu gani? Maisha ni zaidi ya Mwanaume, Amani Moyoni ni zaidi ya Mwanaume. Fikiria maumivu utakayoyapata baada ya kuachwa na huyo Mmasai pindi atakapogundua kwamba ulikuwa Changudoa bila wewe kumuweka wazi. Hitimisha na "Ninge" utakazokuwanazo baada ya kuachwa na huyo Man.
UKWELI NI KITU KIZURI SANA KTK MAISHA
Mwambie ukweli huyo Mwanaume akikuacha wewe utabaki na amani moyoni mwako huku ukijisifu kwa Ujasiri wako. Hilo litampa amani huyo Mwanaume kwamba kama umeweza kumwambia Black side yako hakuna haja ya kukuacha kwasababu hakuna jambo linaloumiza kama Mapenzi, sasa kama wewe umeshatumia muda mwingi ktk Mapenzi utawezaje kuendelea na jambo hilo ilhali uko kwenye Ndoa..!!!?
NAKUHAKIKISHI KAMA ANAKUPENDA KWA DHATI HATOKUACHA KAMWE.
Kutongoza sijui ila Nimekupenda sana wewe dada (Sikutongozi) kudos endelea na moyo huo huo.
BACK TANGANYIKA
Napenda sana mtu mkweli, especially Mwanamke mkweli..!! Umenivutia sana dada yangu una 60% za pendo langu..!! Huwa sipendi mwanamke Muhuni, kiruka njia ila sijui kwanini sitaki kuyafikiria haya juu yako..!!!
Hongera sana dada kama haya uyasemayo ni kweli, wewe ni mtu jasiri sana, hata kama unatumia Id ya kifocho hapa, ila kunaukweli kwenye story yako hii hatakama si 100% hizo asilimia 30 ni nyingi sana..!! Kuziweka wazi hizo tu kunaonyesha ni kiasi gani ulivyo Jasiri. Pongezi nyingi kwa hilo.
Pia dada Marytina, yakumbuke maisha uliyoishi bila huyo Mmasai, Yakumbuke maisha uliyoishi ukiwa bila mwanaume huku ukiwa umeacha Uchangudoa, Angalia ulipungukiwa kitu gani? Maisha ni zaidi ya Mwanaume, Amani Moyoni ni zaidi ya Mwanaume. Fikiria maumivu utakayoyapata baada ya kuachwa na huyo Mmasai pindi atakapogundua kwamba ulikuwa Changudoa bila wewe kumuweka wazi. Hitimisha na "Ninge" utakazokuwanazo baada ya kuachwa na huyo Man.
UKWELI NI KITU KIZURI SANA KTK MAISHA
Mwambie ukweli huyo Mwanaume akikuacha wewe utabaki na amani moyoni mwako huku ukijisifu kwa Ujasiri wako. Hilo litampa amani huyo Mwanaume kwamba kama umeweza kumwambia Black side yako hakuna haja ya kukuacha kwasababu hakuna jambo linaloumiza kama Mapenzi, sasa kama wewe umeshatumia muda mwingi ktk Mapenzi utawezaje kuendelea na jambo hilo ilhali uko kwenye Ndoa..!!!?
NAKUHAKIKISHI KAMA ANAKUPENDA KWA DHATI HATOKUACHA KAMWE.
Kutongoza sijui ila Nimekupenda sana wewe dada (Sikutongozi) kudos endelea na moyo huo huo.
BACK TANGANYIKA
Last edited by a moderator: