Gezuz
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 1,010
- 1,353
Bodaboda wanatumaliza asee inabidi tuunganeMimi sijaoa,atakuwa ameumizwa pia
Bodaboda wanatumaliza asee inabidi tuunganeMimi sijaoa,atakuwa ameumizwa pia
At least kwa hili nimekuelewa!Mnyakipua kuna msemo mmoja wa kiswahili unasema hivi UKIMCHUNGUZA SANA BATA HUMLI. Ugaidi kama huu haujaanza leo, kwa sababu sijakwambia yangu utahisi nakusanifu. Kila kitu kinatokea kwa sababu, majaribu hayazuiliki hilo ni jaribu lako shukuru Mungu, Anza safari mpya. Wengine tulishavalishwa pete ya mchumba hujakaa sawa ndoa imefungwa na mtu tofauti. Wanaume watakuwa wanaume, wanawake watakuwa wanawake. Mungu atabaki kuwa Mungu. Sepesha life liendelee.
Nakudedicate kitabu cha SHERYL SANDBERG "OPTION B" Facing adversity, building resilience and finding Joy.
Sorry i didn't mean to offend you!
Ahsante sana!pole sana aisee,
Mungu na akutetee
ila wanawake wengine jamani mhh!
You'll NEVER understand a woman, mpaka utapochapiwa ndio utaanza kutafuta options nyingine zaidi ya hizo hapo juu.Ukiwa na pesa na mbo.o ndefu na Nene kama tango
Yeah na mimi nimesoma hiyo inaonesha wanawake wengi wanafanya sana uthalit na boda boda na ttzo linaanzia pale kwenye uteja uliopitiliza na boda boda anajiweka karibu kias cha kumtongoza mwanamkeKuna jamaa nae humu kaeleza kisa kama chako cha mchumba/mkewe kuliwa na bodaboda labda ni wewe........!!
Experience ya kishamba sikushauri uifuate! Hawa ndiyo wanafanya mahusiano kuwa magumu siku hizi,watu wanapendana kwa visasi!Duuh hii ni experience mpya kabisa!
Siwezi Hata kidogo,nina imani watu bora bado wapo,nilikuwa very strict, kwa umri wangu wote sijawahi kumuumiza mwanamke,na sitafanya kwa makusudi Hata kidogo!!!Experience ya kishamba sikushauri uifuate! Hawa ndiyo wanafanya mahusiano kuwa magumu siku hizi,watu wanapendana kwa visasi!
Kumbe ulikipanda, hukumgonga nyuma na hukumgonga kunako.Siwezi kulipiza kwa wengine,Nina imani kubwa kuwa kila unachopanda utavuna!
Kwa hiyo ni swala la wakati tu,atavuna anayoyapanda!
Hii kitu wadada wa kisasa na hata wa lizamani wanaipenda sana. Usipoifanya wewe itafanyiwa. The trick ni hautajua kama anafanywa.Siwezi Hata kidogo,nina imani watu bora bado wapo,nilikuwa very strict, kwa umri wangu wote sijawahi kumuumiza mwanamke,na sitafanya kwa makusudi Hata kidogo!!!
Unapomfanyia mtu jambo baya utalivuna!Kumbe ulikipanda, hukumgonga nyuma na hukumgonga kunako.
Hata utakayempata, utagongewa mbele na nyuma kama ndio wasema ulipanda.
Hata kama ndiyo atoe tigo!!?? Kama hujui penzi la dhati halichagui mguu huwa halina kasoro!Ulijuaje kama mshikaji ana mguu wa mtoto mkuu??
hivi wewe ulitaka jamaa aendelee kufanyiwa huu upuuzi hadi lini? au wewe ndio huyo dereva bodaboda huwa sielewi pale mtu akigundua ushenzi wa mwenzake inapoonekana ni kosaKosa ulilolifanya ni kuchukua simu yake na kuiweka mezani karibu yako.
Kosa zaidi ni pale ulipoiacha simu on. Ulitakiwa baada ya kuichukua uizime na maongezi yaendelee.
kwahyo mkuu kwa conclusion yako nikiorodhesha majina 10 ya wanawake wa hapa jf ni kwamba kuna wanne watakuwa wanaliwa tigoAlafu, Kwa hizi nyuzi za JF ....
Niwazi sasa, ktk wanawake 10..... Kuna uwezekano mkubwa kabisa kwa wanawake 4 .. Kua wanaliwa Tigo.
Maajabu nikwamba, awe kasoma,hajasoma, anakazi, hana BADO KULIWA TIGO KWA MADEMU WASASA NDO HABARI !!
POOR !!!
wacha kuwasemea wenzako kama wewe ni maharage ya mbeya ujua kuna wanawake wenzako wanaojiheshimuHumpati ng'o! Labda ujioe mwenyewe.
Kwa dunia ya leo utqmpata nani ambaye atakupa kipapa wewe peke yako? Siku hizi tunashika huku tangu tunachumbiwa, mpaka tu
Utafiti haupimwi hivyo mkuu,unaweza kupata mmoja kati ya hao kumi kutoka hapa jukwaani,lakini ukienda Buguruni,au sinza au mahala penginepo utakuta kati ya kumi 9 wanajihusisha na hayo mambo ya kijinga!kwahyo mkuu kwa conclusion yako nikiorodhesha majina 10 ya wanawake wa hapa jf ni kwamba kuna wanne watakuwa wanaliwa tigo
Nitakua sijaenda mbali sana .kwahyo mkuu kwa conclusion yako nikiorodhesha majina 10 ya wanawake wa hapa jf ni kwamba kuna wanne watakuwa wanaliwa tigo