Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,600
- 19,864
Achukue huu ushauri aufa
Auchukue huu ushauri aufanyie kaziPole sana mkuu ila hawa viumbe sijui huwa wanataka nini.
Yaani mwanamke anajua kabisa ni jinsi gani unajitoa kwako unafanya kila uliwezalo kwa ajili yako lakini bado anakuona we kama boya tu.
Wewe unajitahd kutunza thaman ya penzi lenu yeye anaenda kugawa uroda kwa bodaboda.
Kikubwa mkuu kabla ya yote nenda kwanza kacheki afya yako maana bodaboda wengine siyo kabisa hadi inafika hatua mchumba wako anafundishwa mchezo mchafu kama huo inauma sana.
Mwache aendelee na bodaboda wake hakufai kabsa mkuu huyo.
Kama inafika stage upo nae mnapanga future yenu lakin mwezio mawazo yako kwa bodaboda hakika humo hakuna mwanamke.
Jipe muda kutafuta mwingine huyo hakufai.