litutumbwe
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 731
- 1,376
- Thread starter
- #81
Chai ya mchana kweupe katunyweshaAcha kutudanganya nyoka hatafuni na kunyofoa mapande ya nyama Kama ulivyosema.
Tafuta kingine Cha kutudanganya.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Siyo chai mkuuChai ya mchana kweupe katunywesha![]()
Uyo nyoka anaeng'ata na kunyofoa vipande hajawai kuumbwa na munguSiyo chai mkuu

Ni kobra mkuu. Mnene mfupi mfupi hiviUyo nyoka anaeng'ata na kunyofoa vipande hajawai kuumbwa na mungu![]()
Huyu jamaa alidhani hapa jamvini yuko na chekechea eti fisi akamwambia sungura desh desh desh.Nenda kwenye vijiwe vya kahawa na uwasimulie hii hadithi ili upewe kahawa na kashata bure.
Ni Lini nyoka akanyofoa mapande ya nyama??
Hata kwenu huko Kolelo hajawahi kuonekana nyoka wa aina hiyo mkuu??Muongo huyo tangu lini NYOKA akanyofoa nyama
Hapo kwenye kukata mapande ya nyama ndo nlipo achia kusoma .... kwa asili nyoka ana asili ya kumeza huko kukata mapande ya nyama unatudanganya pia cjui umetuchukuliajeJamani wanajamvi wazima? Hapa kwangu ninaishi na baadhi ya mifugo,nimewajengea mabanda maalumu uani...
Sasa jana jioni tu kuku wangu alishambuliwa mno,na ndiyo nilikuta nyoka ameshaingia bandani.
Yaani alikuwa ameshamuua jogoo sasa anamnyofoa nyama anakula. Nilikuta kashamla robo tayari na anaendelea kumega mapande ya minofu.
Ama kwa hakika nyoka ni hatari,tulimuua kwa msaada wa kerosene pia.
Mkoani nyoka wengi sana...
Mabaki ya kuku tukayafukia.
Kuweni makini jamani. Na nasikia nyoka aina ya kobra huwa wanatembea mume na mke, mkewe tulishamuua na huyu ni mumewe.
Huwa anaweza kuingia hata kupitia upenyo mdogo wageti.kuweni makini mno
NB:nyoka huyu alikua anatafuna kabisa minofu aliyonyofoa kwenye mwili wa kuku. Hii inaonesha ata mtoto mdogo anaweza kumla. Tuwe makini
Nijiwa mdogo tena peku, niliwahi kumkanyaga nyoka. Mungu ashukuriwe, nyoka hakuhangaika na mimi bali aliendelea na SafarNacheka kama mazuri, pole sana .. mimi huwa sijawahi kuona hao viumbe kabisa vikiwa hai na naomba Sana Mungu nisiwaone maana dah sijui itakuwaje
![]()
Ulimkata na mikono ili asije akafufuka akaendelea kunyofoa?Jamani wanajamvi wazima? Hapa kwangu ninaishi na baadhi ya mifugo,nimewajengea mabanda maalumu uani...
Sasa jana jioni tu kuku wangu alishambuliwa mno,na ndiyo nilikuta nyoka ameshaingia bandani.
Yaani alikuwa ameshamuua jogoo sasa anamnyofoa nyama anakula. Nilikuta kashamla robo tayari na anaendelea kumega mapande ya minofu.
Ama kwa hakika nyoka ni hatari,tulimuua kwa msaada wa kerosene pia.
Mkoani nyoka wengi sana...
Mabaki ya kuku tukayafukia.
Kuweni makini jamani. Na nasikia nyoka aina ya kobra huwa wanatembea mume na mke, mkewe tulishamuua na huyu ni mumewe.
Huwa anaweza kuingia hata kupitia upenyo mdogo wageti.kuweni makini mno
NB:nyoka huyu alikua anatafuna kabisa minofu aliyonyofoa kwenye mwili wa kuku. Hii inaonesha ata mtoto mdogo anaweza kumla. Tuwe makini
Haumjui litutumbwe na stori zake? Huyu ni chizi mpya mpya🤣🤣Duuuh,hilo nyoka la kunyofoa nyama kabisa sijui ni la aina gani kwani wengi huwa wanameza
😃😃😃 ni nyoka au lugha ya picha?Yaani alikuwa ameshamuua jogoo sasa anamnyofoa nyama anakula. Nilikuta kashamla robo tayari na anaendelea kumega mapande ya minofu.
Unamjua nyoka anaitwa Collin Diep ?🐒Hata kwenu huko Kolelo hajawahi kuonekana nyoka wa aina hiyo mkuu??
Negotiation na Nyoka 😀😀😀Unapotembea maporini unapishana sana na nyoka bila kuwaona na wenyewe huwa wamepozi tu wanatutazama nia yetu, kama hatuna time nao, pia hawana noma na sisi. Ni rahisi kuumwa na nyoka mkionana naye face to face kuliko ukiwa hujamuona, maana unapoonana nae mwili wako unareact kwa defence na yeye anajiona yuko hatarini, so ni either akimbie au apambane, busara zetu nyie wote wawili wakati huo ndio zitaleta amani au vita.
Tuwe makini wapi sasa mkuu?. Kwani wote tumekusanyika tunaishi hapo unapoishi?. Uwe makini wewe,maana wapo nyoka wengine wanakuja.Jamani wanajamvi wazima? Hapa kwangu ninaishi na baadhi ya mifugo,nimewajengea mabanda maalumu uani...
Sasa jana jioni tu kuku wangu alishambuliwa mno,na ndiyo nilikuta nyoka ameshaingia bandani.
Yaani alikuwa ameshamuua jogoo sasa anamnyofoa nyama anakula. Nilikuta kashamla robo tayari na anaendelea kumega mapande ya minofu.
Ama kwa hakika nyoka ni hatari,tulimuua kwa msaada wa kerosene pia.
Mkoani nyoka wengi sana...
Mabaki ya kuku tukayafukia.
Kuweni makini jamani. Na nasikia nyoka aina ya kobra huwa wanatembea mume na mke, mkewe tulishamuua na huyu ni mumewe.
Huwa anaweza kuingia hata kupitia upenyo mdogo wageti.kuweni makini mno
NB:nyoka huyu alikua anatafuna kabisa minofu aliyonyofoa kwenye mwili wa kuku. Hii inaonesha ata mtoto mdogo anaweza kumla. Tuwe makini
Kwa hiyo ikakujia ile spirit kali ya muda ukajikuta unapaaa.. ..!Kuna eneo linaitwa Nala, Dodoma. Nilimkanyaga huyu nyoka Dec 31 usiku. Nikagundua kumbe binaadamu tunaweza kupaa basi tu uzembe wetu
Cobra
View attachment 2603894
![]()
Jinsi nilivyonusurika kung'atwa na nyoka wakati nataka kumuokoa
Kwasababu zangu binafsi ambazo sitapenda niziseme (but very reasonable) hua siui kiumbe yoyote aliye hai tofauti na mbu. Kiukweli siwapendi na nawaogopa sana nyoka ila hata wao imekua ikiniwea vigumu kuwaua hivyo pindi napokutana nao hua naishia kuwafukuza au kuwapotezea kama wameenda eneo...www.jamiiforums.com



