Gamaha
JF-Expert Member
- Jul 17, 2008
- 3,945
- 5,082
Eti nyoka ananyofoa mapande hamnaga nyoka wa hivi dunianiWe faller hata huko usukumani umewahi huona nyoka anakula nyama kwa kunyofoa?
Hii chai mbona imezidi...😂
Eti nyoka ananyofoa mapande hamnaga nyoka wa hivi dunianiWe faller hata huko usukumani umewahi huona nyoka anakula nyama kwa kunyofoa?
Hii chai mbona imezidi...😂
Nyoka ananyofoa minofu!?Jamani wanajamvi wazima? Hapa kwangu ninaishi na baadhi ya mifugo,nimewajengea mabanda maalumu uani...
Sasa jana jioni tu kuku wangu alishambuliwa mno,na ndiyo nilikuta nyoka ameshaingia bandani.
Yaani alikuwa ameshamuua jogoo sasa anamnyofoa nyama anakula. Nilikuta kashamla robo tayari na anaendelea kumega mapande ya minofu.
Ama kwa hakika nyoka ni hatari,tulimuua kwa msaada wa kerosene pia.
Mkoani nyoka wengi sana...
Mabaki ya kuku tukayafukia.
Kuweni makini jamani. Na nasikia nyoka aina ya kobra huwa wanatembea mume na mke, mkewe tulishamuua na huyu ni mumewe.
Huwa anaweza kuingia hata kupitia upenyo mdogo wageti.kuweni makini mno
NB:nyoka huyu alikua anatafuna kabisa minofu aliyonyofoa kwenye mwili wa kuku. Hii inaonesha ata mtoto mdogo anaweza kumla. Tuwe makini
Boya kweli mleta madaEti nyoka ananyofoa mapande hamnaga nyoka wa hivi duniani
Alikuwa amemfata nyoka mwenzie anayening'nia Kati kati ya miguu yakoNyoka anatisha bwana
Miaka mingi kidogo nilikaa kwenye kibaraza mbele ya nyumba umeme umekatika, Sina hili wala lile
Ghafla nikahisi kitu chenye joto kinateleza kwenye nyayo zote za miguu, sielewi ilikuwaje ila nilisogeza miguu taratibu sana nikawasha tochi ya simu...Kuangalia nyoka ndio alikuwa anajiweka vizuri pale aiseeee niliruka hatari ile speed sijawahi kuwa nayo tukamuua
Siku tatu mbele nipo bafuni naoga nyoka kama yule yule ukubwa ule ule rangi ile ile namuona pembeni nashukuru nilikuwa sijavua nguo sijui ingekuwajenikatoka mbiiioooo na sikuoga Tena Kwa muda ule
Aiseee mama akaanza kulia wachawi wanamfuata mwanaeeti nyoka yule yule kafufuka..
Siku kadhaa mbele tukaua mwingine ila huyo alionwa na mwingine sio Mimi.
Tukahisi wamezaliwa pale ila hatukuwahi kumuona mama Yao wala baba yao
Nyoka mzuri sana aiseeView attachment 2603909
Nmeona comment ya bwana Da'Vinci Ikanikumbusha katukio haka nlimpitia huyu mwanaharamu na ka Boxer bike kangu wakati naenda mashambani Songea huko ilikuwa 2020.
Ile village inaitwa mlilayoyo kama sijakosea
Angekugusa usingekuwepo leo hiiKuna eneo linaitwa Nala, Dodoma. Nilimkanyaga huyu nyoka Dec 31 usiku. Nikagundua kumbe binaadamu tunaweza kupaa basi tu uzembe wetu
Cobra
View attachment 2603894
![]()
Jinsi nilivyonusurika kung'atwa na nyoka wakati nataka kumuokoa
Kwasababu zangu binafsi ambazo sitapenda niziseme (but very reasonable) hua siui kiumbe yoyote aliye hai tofauti na mbu. Kiukweli siwapendi na nawaogopa sana nyoka ila hata wao imekua ikiniwea vigumu kuwaua hivyo pindi napokutana nao hua naishia kuwafukuza au kuwapotezea kama wameenda eneo...www.jamiiforums.com
Huwa nawashangaa sana wanaosema Mungu hayupoAcha tu yaani niliruka juu height kubwa sana nadhani hata masai niliwashinda.
Lakini hili tukio lilinifanya nigundue Mungu fundi sana kwenye upande wa response towards stimulus/Vichochezi.
Yaani ilinichukua muda wa 0.01second kuchukua hatua ya kuruka juu baada ya kumkanyaga. Nilivyomkanyaga mwili ukasisimka nikajiuliza nini hiki nimekanyaga kilaini hivi nikaruka. Yaani ndani ya muda mfupi sana. Nikawa nimefanya practical ya Topic ya Coordination
Aiseee sipendi nyokaView attachment 2603909
Nmeona comment ya bwana Da'Vinci Ikanikumbusha katukio haka nlimpitia huyu mwanaharamu na ka Boxer bike kangu wakati naenda mashambani Songea huko ilikuwa 2020.
Ile village inaitwa mlilayoyo kama sijakosea



Nilikanyaga nyoka ,bahati nzuri nilikanyaga upande wa kichwani,niligundua alipoanza kujinyonganyonga mwili na kujiviringisha mguuni,akili ya haraka ikanijia kwamba kwakuwa mwili umeshajifunga mguuni nikiinua kuachia kichwa ataning'ata,nikakandamiza kiatu na kubana kichwa ardhini hadi alipojinyoosha kuashiria amekufa ndio nikamuachia,nikamfungua mguuni kwa mkono nikamtupia mbali.

yaani kisterling sana.Chukua oil chafu na uchanganye mafuta ya taa umwagie kwenye vizingiti vya kuingia ndani na kuzunguka mabada ya wanyama.Jamani wanajamvi wazima? Hapa kwangu ninaishi na baadhi ya mifugo,nimewajengea mabanda maalumu uani...
Sasa jana jioni tu kuku wangu alishambuliwa mno,na ndiyo nilikuta nyoka ameshaingia bandani.
Yaani alikuwa ameshamuua jogoo sasa anamnyofoa nyama anakula. Nilikuta kashamla robo tayari na anaendelea kumega mapande ya minofu.
Ama kwa hakika nyoka ni hatari,tulimuua kwa msaada wa kerosene pia.
Mkoani nyoka wengi sana...
Mabaki ya kuku tukayafukia.
Kuweni makini jamani. Na nasikia nyoka aina ya kobra huwa wanatembea mume na mke, mkewe tulishamuua na huyu ni mumewe.
Huwa anaweza kuingia hata kupitia upenyo mdogo wageti.kuweni makini mno
NB:nyoka huyu alikua anatafuna kabisa minofu aliyonyofoa kwenye mwili wa kuku. Hii inaonesha ata mtoto mdogo anaweza kumla. Tuwe makini
Piga moto watakimbia wenyeweNina shamba nimenunua mahali ila kuna kobra balaa nimeliacha maana hata nyani na ujanja wao na ngedere wanauliwa sana na hawa wadudu
Alikuwa amemfata nyoka mwenzie anayening'nia Kati kati ya miguu yako



aiseeeeNoma sana...una akili nzuri sanaNilikanyaga nyoka ,bahati nzuri nilikanyaga upande wa kichwani,niligundua alipoanza kujinyonganyonga mwili na kujiviringisha mguuni,akili ya haraka ikanijia kwamba kwakuwa mwili umeshajifunga mguuni nikiinua kuachia kichwa ataning'ata,nikakandamiza kiatu na kubana kichwa ardhini hadi alipojinyoosha kuashiria amekufa ndio nikamuachia,nikamfungua mguuni kwa mkono nikamtupia mbali.
Teh teh teh 😂😂😂 JF ina vituko kweli kweliKazi ya mods ni kupiga bann ila uongo kama huu hawafanyi kitu sasa wanatuonaje hawa watu
Kilimba shkamoo.Alikuwa amemfata nyoka mwenzie anayening'nia Kati kati ya miguu yako
AaaaaaaaahaKilimba shkamoo.