Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,341
Pole. Ingekua ni mimi ningeng'atwa maana sinaga uvumilivu mbele ya hao viumbe.Nilikanyaga nyoka ,bahati nzuri nilikanyaga upande wa kichwani,niligundua alipoanza kujinyonganyonga mwili na kujiviringisha mguuni,akili ya haraka ikanijia kwamba kwakuwa mwili umeshajifunga mguuni nikiinua kuachia kichwa ataning'ata,nikakandamiza kiatu na kubana kichwa ardhini hadi alipojinyoosha kuashiria amekufa ndio nikamuachia,nikamfungua mguuni kwa mkono nikamtupia mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
, mimi huwa nikiona tu kwenye TV vile anatembea mwili unasisimka vibaya mno, ila maandiko yanasema pia yamethibitisha binadamu na nyoka ni maadui wakubwa sana